Kuombwa talaka gerezani

Ni wakat Sasa magereza yetu kuweka utaratibu wa kukutana kimwili walau Mara moja kwa mwezi na mke au mume

Hata Kama angeacha mali uraiani lazima wangemgegedea tu miaka nane n mingi Sana
Humans rights watch walikuwa wanadili ni hii kitu kuona kama kuna uwezekano wa kuliruhusu hili huko magerezani
 
Aisee walikuwa na mtihani mzito, mwenyezimungu awafanyie wepesi
 
Lakini kwa mtazamo mwingine. Huyu ni Sheikh maana yake ana Watu wengi nyuma yake. Kwa nini kama vile walivyokuwa wanakuja kusikiliza kesi yangu Mahakamani au kuniona mahabusu walishindwa angalau kuchanga chochote kila Mwezi kusitiri familia za Masheikh.

Huu ni unafiki wa hali ya juu sana. Yaani Watu walalamike, walaumu, waandike ubaya wa Serikali kuhusu hili lakini wasikumbuke kuwa Masheikh wameacha familia nyuma.
 
Hv hii thread mbona kila nikiingia humu naikuta ipo juu na wachangiaji haina na mods mpo tu.
 
Hv hii thread mbona kila nikiingia humu naikuta ipo juu na wachangiaji haina na mods mpo tu.
Nilidhani labda kwa kuwa mimi ndiye nimeianzisha, basi ndio naiona hapo juu, i thought ni utaratibu mpya. Inaboa Moderator
 
Mi nikikaa miaka mitatu tatu tu jela na sion raman nampa mke taraka
 
Kwani walioa wakiwa gerezani? Kwanini wenzetu hawawezi kuaminiana na kuvumiliana hasa wakati wa kuhitajiana na kusaidiana? Ni mazoea ya watu wa aina hii kuacha wake zao wakipata kash kash. Je wanahofia wanachowafanyia wenzao yanapowakuta yaliyowakuta?
 
Hii nchi ilipelekwa kubaya sana
Asante kwa mama SSH kurekebisha makosa ya watangulizi wake JK na JPM (RIP)
Mbona naye anatuambia mbowe gaidi?
Au kwa sababu kalipiza upande wa pili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…