kuna vitu huhitaji kauli ya mwisho lakini isiwe wewe tu ndo wa kutoa kauli ya mwisho. kuna wakati mwenzio akawa na mawazo ya kujenga zaidi kuliko yako lakini kwa sababu ya kuwa na "kauli ya mwisho" mkaangamia. mume au mke anaweza kutoa kauli ya mwisho kuwa watoto wa kike wasiende shule..... kiwanja kisinunuliwe mwaka huu......lazima tuzae watoto watano.... n.k bila sababu za kuridhisha kwa kila kauli. hali hii haikubaliki ktk jamii