Kuolewa

Unajua tofauti ya kiongozi na dikteta?

Unajua nini kuhusu "kauli ya mwisho"?
kwa nini kusiwe na majadiliano? kuna wanaume wengine hawana busara na hekima. wakiwa na kauli za mwisho itakuwaje?
kuna wanawake wengine busara na hekima zao zinawatosha wenyewe. nao wakiwa na kauli za mwisho tutafika?
Sina hakika kama umeelewa nilichokuwa nakiandika
Hebu jibu maswali yangu hapo juu kisha nijue namna kukuelewesha kuhusiana na ulichokiandika!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…