Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,834
Maana yake mtoto wa mwanamke mwenye Jinsia ya Kiume lazima apate bahati kutoka kwa MUNGU.Kuwa mtoto wa mama na kuona kua kuoa/olewa ni bahati kunahusiana vipi?
Mwanamke mwema anatoka kwa MUNGU au unasemaje?