Mkuu,
Ni uamuzi sihihi kabisa siwezi kukulaumu.
Ila tahadhari hii iweke iwe kama tai ya afisa wa TRA,
Usitafute vitoto vya shule huku mtaani maana, tutakuchoma moto mapema sana.
Ama, nyota ya jela itakutembelea hivyo, amua ila hakikisha haukosei taratibu zingine za jamii inayokuzunguka.