Kuoa na kuolewa???

Ndoa haina fomula, fomula ya ndoa ni jinsi ww mwenyewe utakavyo ipanga iwe hivyo na ukitaka kuiga fomula ya kwangu ukaipeleka kwako ndipo hapo watu wanaona ndoa ni kama zigo lisilo bebeka, lakini basi ukiweka katka fomula yako utaiona ndoa ni nzuri ajabu, kingine ni kuwa sie wanadamu hatujakamilika kila mtu ana mapungufu yake hata ukipanga vyombo kabatini huwa vina gongana hivyo ktk ndoa huwa kuna huo mfumo. mfumo wa kwanza miaka 5 ya mwanzo ndoa inakuwa tamu ajabu, miaka 5-10 misuko suko ya hapa na pale inapishana halafu miaka 10-20 hapo ndipo unajuta ya nn uliolewa/oa ikija tena 30-50 utamu wa ndoa unarudi tena miaka inayofuatia mingine unahisi ndio uchumba umeanza tena mapenzi hayaelezeki na wajukuu teyari basi mwasubiria mungu awatenganishe.

hivyo ndivyo nielewavyo mie kwa ufahamu wangu
 
Judging by the drama we see here coming from married people I woul think the married ones to be in the unenviable position.Marriage is inevitably an futile exercise, either one side will have to submit to another, or the whole thing will turn to a PR scam, if it will survive at all.

I have issues with both scenarios.It is the other way around, even if you own the world, if you are married you are not master of yourself, let alone the world. Why, you must ask for permission even to go where you wanna go if the marriage is characterized by any degree of equanimity.

If marriage was such a wonderful thing, why do we need prenups? You cannot institutionalize love.

When people ask me whether I support gay marriage or not, my resounding answer is no.Not only that, I don't even support heterosexual marriage.In fact there are some heterosexual people who support gay marriage simply because they say gay people should have equal opportunity at experiencing the miserable outcome of the effort to institutionalize love.

What schadenfreude!
 
FL1 umenikumbusha kidhungu cha question tags!
Jane took your book - tookn't she?
She goes to school everyday- goesn't she lol!

BWT

Sidhani kama ni watu wote wanaoa ama kuolewa! Na kama ingekuwa ni kweli mbona wapo wanaotoka kwenye huo muunganiko na hawatamani kurudi tena? Labda kwa wanaume


MJ1, umenichekesha na hicho kidhungu.

Haya mambo ya kuoa na kuolewa kila mtu anayachukulia kivyake. kuna wadada wengi hawataki kuolewa na wala hawapungukiwi na kitu sababu hicho wanachopata walioolewa nao wanapata. na kuna wakaka wana kamsemo "if I can afford a litre of milk per day, why keeping a cow?" hao huwaambii kitu kuhusu kuoa, kila ukizungumzia watakuambia bado nipo nipo.
 
mimi naona bora nikioa,kwasababu kwenye ndoa yangu mimi natisha kama INVIZIBO!mimi ndio kila kitu pale:D
 
Si kweli,unaweza kuishi bila kuoa na maisha yakawa safi tu,je padri anaishije?

Hivi kuoa ni kuna maanisha nini? Mimi nijuavyo ni Mwanamume kupata msaidizi wake katika maisha (Mungu alifanyia Adam msaidizi ambaye ndiye Hawa) Mapadre wapo wanao oa na wasio oa! Ambao hawaoi hawataki msaidizi ktk maisha ila wanamtegemea MUNGU. Ila wanashiriki tendo la ndoa tena ni vipanga hasa, wake za watu, visichana ni fujo tupu!
 
Nyamayao ndio mifumo dume yenyewe hii.Kuna wanaume huwa wanasema hawataki kuoa wasomi wenzao bali darasa la saba ili wawatawale.(shemeji lakini wewe ulikuwa humaanishi hayo)


ZD nimekupata, huyo G anadhani maisha ya sasa ni hayo tena, hiyo ni kitambo bwana.
 
firstlady kuoa au kuolewa si lazima na wala si wajibu,nimipango tu ya mtu inapokaa sawa na kumpata yule ampendae,usije ukalazimisha kuolewa eti kwa sababu umri unapita
 
Hivi kuoa ni kuna maanisha nini? Mimi nijuavyo ni Mwanamume kupata msaidizi wake katika maisha (Mungu alifanyia Adam msaidizi ambaye ndiye Hawa) Mapadre wapo wanao oa na wasio oa! Ambao hawaoi hawataki msaidizi ktk maisha ila wanamtegemea MUNGU. Ila wanashiriki tendo la ndoa tena ni vipanga hasa, wake za watu, visichana ni fujo tupu!

Mfumodume
 
Back
Top Bottom