Kuoa mwanamke mwenye kipato cha juu ni kijitafutia stress

Hii ni agano la kale kabla Bahati haijatuzukia sote(Kristo). Kwasasa neema ipo kwa sote niwewe kuwa na bidii kumtafuta Mungu wako na mengine utayapata.Kisome vizuri kitabu Mtu wa Mungu
Unamaanisha kuna Mungu wa kale na wa sasa ilihali Biblia hutumia Agano la Kale na Agano Jipya?

Uumbaji wa Mungu unaelezwa ktk Agano lipi la Biblia?

Amri 10 za Mungu zatoka Agano lipi ktk Biblia?

Unabii wa Masihi (Yesu/Mungu) kuuokoa ulimwengu unatoka Agano lipi?

Uasisi wa ndoa unatoka ktk Agano lipi?

Ushuhuda wa Manabii walioenda mbinguni bila kutenda dhambi unatoka wapi? Eg Enock.

Ushuhuda wa Mungu kuteketeza ulimwengu kwa gharika na moto watoka Agano lipi?

Ukomo wa sadaka kwa kafara za wanyama watoka Agano lipi?

Mungu hawezi kujipinga na hatajipinga kamwe!

WAEBRANIA 13:8.
Yesu Kristo ni yeye yule, jana na leo na hata milele.
 
Kijana mademu waswahili ndio shida linapokuja suala la pesa.
All in all women are totally the same but they just differ from a little bit line of characters due to historical background on their parents raisings, environments (globalization, traditions, norms, customs ,friends zone, religion, education, jobs, age), psychologies, personalities, attitudes and adaptabilities.

Remember that families plans before, during and after are usually established and driven by Men as the heads of mutual and best families.
 
Unamaanisha kuna Mungu wa kale na wa sasa ilihali Biblia hutumia Agano la Kale na Agano Jipya?

Uumbaji wa Mungu unaelezwa ktk Agano lipi la Biblia?

Amri 10 za Mungu zatoka Agano lipi ktk Biblia?

Unabii wa Masihi (Yesu/Mungu) kuuokoa ulimwengu unatoka Agano lipi?

Uasisi wa ndoa unatoka ktk Agano lipi?

Ushuhuda wa Manabii walioenda mbinguni bila kutenda dhambi unatoka wapi? Eg Enock.

Ushuhuda wa Mungu kuteketeza ulimwengu kwa gharika na moto watoka Agano lipi?

Ukomo wa sadaka kwa kafara za wanyama watoka Agano lipi?

Mungu hawezi kujipinga na hatajipinga kamwe!

WAEBRANIA 13:8.
Yesu Kristo ni yeye yule, jana na Wewe bado mgumu kuelewa rejea tulipoanzia. Neema ilikuja wakati gani?Na kwanini kulikuwa na Neema?
 
All in all women are totally the same but they just differ from a little bit line of characters due to historical background on their parents raisings, environments (globalization, traditions, norms, customs ,friends zone, religion, education, jobs, age), psychologies, personalities, attitudes and adaptabilities.

Remember that families plans before, during and after are usually established and driven by Men as the heads of mutual and best families.
Alieelewa anitafsilie.
 
Back
Top Bottom