ukweli kuoa ni kiashiria cha umiliki na kuolewa umilikiwa na mzizi wa yote ni kutokana na jamii zinazofuata mahari ambapo inachukuliwa kwamba mwanamke ni bidhaa, hivyo basi sahihi ukipenda kutumia mzizi wa hayo maneno ni kuoana.but sahihi zaidi ni kuufunga ndoa...............hii inakwenda sanjari na maeno mume au mke wangu............yote yanaashira ya ukatili wa kijinsia
Kwa uelewa wangu anayeoa ni mwanamume na ndivyo linavyokubalika hata katika jamii nyingi za kiafrika, kwa mfano kijana (wa kiume) wa mzee flani kamuoa binti wa mzee flani na wala si kinyume chake
Neno kuoa ni kupatana/kuelewana/kulandana/kufungamana. Kwa hiyo kwa mwanaume kusema KAOA ni heshima tu kwa vile mwanamke anahamia kwa mwanaume ila neno sahihi ni KUOANA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.