"Siku za mwisho wataibuka manabii wa uongo"
Hawa ndio Bwana YESU Kristo aliwasema katika Biblia kuwa Watakuja Madabii wa Uongo nao watadanganya watu watu wengi na ndio hawa tunao waona kwa sasa .
Mathayo: 15Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.