Kunguru kunidonyoa kichwani

Mm hapa napokaa..kunguru wakimuona tu mtoto ametoka nje kucheza na wao wanasogea maeneo ya karibu..sijui huwa wanataka nn..na wanasogea hadi miguuni kwa mtoto..imenibidi ninunue manati kideal nao..maana naogopa wasije mdonoa..wakati mwingine mtoto alitokea na msosi nje wanazengea wanapita nao.
 
Wanataka kumpora kitu anachokula tu

Ova
 
 
Habarini! hivi hili swala la kunguru kukudonyoa kichwani Lina maana gani? Mara ya kwanza kunitokea nikafikiri kwa vile nilivaa shati jeusi, lakini Leo pia imenitokea Cha kushangaza ni Mimi tu wengine hawadonyolewi
Ukiona hivyo tambua kuwa huwa unatabia ya kuwafukuza/kuwarushia mawe hiyo ni retaliation. Kunguru ana memory kubwa hasahau mbaya wake.
 
N
Nazani huyo wa pili alijuta kutaka kujua ndoto yake, ni bora asingelijitaabisha kujua tafsiri yake.
NGUVU YA KUJUA NI MBAYA SANA
 
Duuuh
Habarini! hivi hili swala la kunguru kukudonyoa kichwani Lina maana gani? Mara ya kwanza kunitokea nikafikiri kwa vile nilivaa shati jeusi, lakini Leo pia imenitokea Cha kushangaza ni Mimi tu wengine hawadonyolewi
 
Habarini! hivi hili swala la kunguru kukudonyoa kichwani Lina maana gani? Mara ya kwanza kunitokea nikafikiri kwa vile nilivaa shati jeusi, lakini Leo pia imenitokea Cha kushangaza ni Mimi tu wengine hawadonyolewi
Usikute umejipaka bluebane mkuu.
 
Habarini! hivi hili swala la kunguru kukudonyoa kichwani Lina maana gani? Mara ya kwanza kunitokea nikafikiri kwa vile nilivaa shati jeusi, lakini Leo pia imenitokea Cha kushangaza ni Mimi tu wengine hawadonyolewi
Unahitaji kufanya maombi mazito sana kuomba huruma ya Mungu.
Yaliyo mwilini ni dhahiri ktk roho na yaliyo rohoni kimatukio ni dhahiri ktk mwili.

Ktk maisha yako unaonekana utakufa ktk mazingira ya kutatatanisha na mwili wako hutaonekana na watu bali wanyama wa hayawani kama ndege ambao wataudonyoa na kuumaliza.

Muombe Mungu mno kwake yote ni mepesi.
 
Habarini! hivi hili swala la kunguru kukudonyoa kichwani Lina maana gani? Mara ya kwanza kunitokea nikafikiri kwa vile nilivaa shati jeusi, lakini Leo pia imenitokea Cha kushangaza ni Mimi tu wengine hawadonyolewi
Wengine hawadonyolewi au wengine hawasimulii kwamba nao wamedonyolewa!?

HAPO UNAOGOPAUCHAWI TU hakuna kingine
 
🀣🀣🀣 dah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…