Kunguru hawa waletwe Dar

Hakuna lisilo wezekana. Yawezekana kuwa kweli ni hivyo huyu kunguru hufanya kwani anayaona mengi humo pipani akajua hapo ndo mahali yakaapo
 
Kunguru wa dar hawajui mambo kama haya
Wao wape kuiba tu,,,
 
ingekua kunguru wa kwetu angechukua uchafu kutoka ktk hilo debe na kuuleta nje,kweli kuishi kwing kuona mengi,lakini hata hawa wa kwetu walikua hivi hivi ila maisha ya bongo ndo yakawachanganya,
 
Hao mbona bongo wapo na wameshakuwa kero hawana msaada wowote zaidi
 
Nina mashaka na numbering ya picha. Itakuwa no moja ni hiyo ya chini.

Kunguru kuwa trained inawezekana wadau, mie binafsi nishaona trained kunguru kwenye documentary fulani sikumbuki ni station gani, alifunngwa kwenye cage na alifundishwa kufungua mlango wa cage, kwenda kula then kurudi kwenye cage yake na kisha kurudishia mlango,vyote alifanya kwa kutumia mdomo wake, NILISHANGAA SANA, nikajisemea kwamba kumbe inawezekana
 
Tu assume kwamba hiyo picha ya chini ndio namba 2.Ina maana ameokota kakuta lipo tupu sasa analitupa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…