Kumbuka kwamba Kunguni upatikana kwy vyombo vya usafiri kama magari na Treni, meli. Pia wanapatikana sana kwy Guest Houses
Mkuu mpk kwenye ndege,
Mwaka juzi british airways walikumbwa na skendo ya kuguni kwenye ndege zao, ikawashusha sana kwenye sokoo,
hii ilianza na mama mmoja wa kijapani mwaka 2017 kwenda kulalamika kwa maafisa km familia yake ndani ya ndege walikula bites za kutosha kutoka vancouver mpk london,
hii wakaipotezea maana sio raia wao..
Mwaka jana mfanya biashara wa uingereza alisafiri kutoka london mpk captown alichezea bites zaidi ya 120 kwa masaa 14, unavyojua wazungu na ile rangi yao, anatua cape town ukimchek kama fenesi lililo oza.
hao kukuni walibebwa na abiria mmoja kutoka ghana, kwenye ndege wakaanza kusambaa na kuzaliana siku kwa sikuu, baada ya hapo kila yule akatafta abiria anasepa nae,
wakaanza kujaa london international airport, abilia wakawa wanawabeba bila kujua,wakahamia majumbani,
Na akitua tuu nyumbn ni ndani ya mwezi tuuu wamejaaa, na hutomuona mpk ule bite, na akikupa bite moja anahama location, mara mgongoni, mara,kifuania, mara kwenye papuchu, mara gegedo, mara kwapani, mara sikioni, yaani ni mmoja lkn km milioni,
mpk unamkamata mwili ushaumuka.
Wewe tafta tuu njia ya kuwaangamiza,
usijiulize ulibeba
mmoja au wawili?
dume au jike?
alikua na mimba au hana?
Wao wanachojua ni kuzaa..
wewe utashaangaa tuu bites,
baada ya miezi wale wadudu waisambaa london karibia yote na miji ya karibu through the same method.
Walihaha sana kuwaua, am not sure km wamefanikiwa mpk leo.
Nina uzoefu nao, maana walichonifanya advance sitosahauu, yaani unaamka kusoma bila kutaka, maana ukimaliza lijisaa hujaamka labda km umezimia, mpka tukawa tunahisi au walikua wanamwagwa ilili watuamshe kusoma..
Anayway kwa upande mwingne nawashukuru sanaa