change we need
Member
- Aug 10, 2011
- 81
- 9
kwa nchi za wenzetu waliondelea ni kosa ambalo linaweza kukuweka matatani lakin pia inategemea na madhumni ya kunasa mazungumzo hayo,kwani hata huko pia kuna mazungumzo mengi huwa yanarekodiwa kwa ajili ya habari za kiuchunguzi. Hivyo inategemea sana mazingira yenyewe lakin unapolinganisha hapa kwetu ni kama unasahau au umepitiwa sisi hakuna sheria inayofanya kazi nchi hii,hata makosa ambayo tunayaona makubwa kabisa kama mauaji na aina ya uhujumu wa nchi watu wako nje na wanapeta bila shaka. Hivyo kwa lema hiyo sio issue