Arabi Nanjewa
JF-Expert Member
- Sep 22, 2017
- 325
- 411
mo amekua msemaji, meneja, benchi la ufundi, kamati ya usajili, mwekezaji, kocha. mgawa bodaboda. mgombea hati. soon ataingia uwanjaniMkuu simba kwa sasa mambo yetu tunafanya kimyakimya kelele tumewaachia vyura...angalia hii,hii ni kabda hata timu ya taifa haijaenda egypt but tuliamua tu kukaa kimyaView attachment 1123804
