Kuna wizi wa kimazingara umeibuka hapa mjini Mwanza

aikambe

Member
Jul 5, 2014
90
14
Jaman kuna wizi wa kimazingara umeibuka hapa mjini mza hasa kwenye mabenki kuna rafiki yangu alitapeliwa milion kumi bank ya Azania tawi la mwaloni mwaka jana November walikuja watu wawili wakiongea lafudh ya kikenya wakamwambia wanachange nzuri ya dola account yao ipo equity bank ambayo iko opposite na Mwanza hotel sijui walifanya mazingara gani wakachukua hela zake wakamwamchia makaratasi.

Jamaaa akawafalitia hakuwapata sasa basi juzi yule jamaa rafiki yangu anamiliki car wash wale jamaa wakaja na gari gx 100 akasustuka walikua wa3 wa2 wakakimbia mmoja akadakwa alipigwa saaaana kumsachi wakamkuta na hirizi wakaona kumpeleka polisi watazingua wakatafta wazee wengne wa kazi kijana ameteswa akakutwa na kitambulishoo kumbe ni mganda wako hapa mza wana njia kama mia za kukutapeli.
 
Hizi ni picha zake
 

Attachments

  • 1404676606856.jpg
    1404676606856.jpg
    68.5 KB · Views: 886
Na hizi ni picha zake na hirizi na vipigo alivyopata wamemshikilka kashatoa mil3. Mpaka sasa bado saba tahadhal ukikutana na mtu kama humfahamu bank usimjibu ukimjibu wanacheza na akili yako wana madawa ndio hayo tuliyomkuta nayo ni waganda
 

Attachments

  • 1404676655166.jpg
    1404676655166.jpg
    67.2 KB · Views: 720
  • 1404676679738.jpg
    1404676679738.jpg
    65.6 KB · Views: 693
  • 1404676698479.jpg
    1404676698479.jpg
    111.4 KB · Views: 656
  • 1404676721697.jpg
    1404676721697.jpg
    38.9 KB · Views: 662
  • 1404676746877.jpg
    1404676746877.jpg
    124.2 KB · Views: 650
Hapa ni ziwani akiwajulisha wenzie walete pesa
 

Attachments

  • 1404677274808.jpg
    1404677274808.jpg
    54.3 KB · Views: 520
Safi sana polisi angekaa masaa mawili afu angetoa rushwa..hako kamfumo nimekapenda nikumuhenyesha tu mpaka arudishe heal zote nyauuu
 
this is great!!!

Polisi wamekua wasanii tu, watavuta wamwachie

huyo mzae nae kabisa aisee, mtunzeni kama mbuzi wa pasaka.... wiki tatu hivi chini ya ulinzi mtawajua wengine
 
na hizi ni picha zake na hirizi na vipigo alivyopata wamemshikilka kashatoa mil3. Mpaka sasa bado saba tahadhal ukikutana na mtu kama humfahamu bank usimjibu ukimjibu wanacheza na akili yako wana madawa ndio hayo tuliyomkuta nayo ni waganda

kabla ya kuendelea kucomment


kuna picha mmemwinamisha mlikuwa mnamfanya nini ama alikuwa gym
 
Nyie watu wa mwanza hamjui kupiga mwizi kabisaaa! Mngemuacha tu ama mkammwagia maji ya baridi!

Yaninii yoyote mkuu

JUZI NIMESHUHUDIA AINA MPYA YA KUUA KINONDONI HII HATA MUNGU ANAWASEMEHE WANAOUA.MAJAMBAZI KWA HILI

ALIKAMATWA DOGO MMOJA KUMBE AMETESA SAANA SANA WANANCHI WAKAMPIGA


JIRANI MMOJA AKAULIZA KUNA MWENYE TANKI LA MAJI MACHAFU WAKAENDA KUCHOTA YALE MAJI YA KIJANI USINIYLIZE YANANINI

ALIPEWA KIKOMBE ANYWE ALIPOMALIZA JAMAA AKAOMBA WAMAMWACHE WASIMGUSETENA


AKUFIKA HAPA NA JF WALAHI

AKADONDOKAKIMOJA SIKUMBUKI ALIENDAWAPI ILA NILIONA TU MATURUBAI NYUMBANIKWAO
 
mkuu nakuona una itikadi za kigumu
ungefaa kuwa ktk opereshen ya kupambana na maharamia!!

mwizi wakutumia dawa wala siyo haramia mkuu, huyo ni tapeli tu, wewe inaingia akilini eti mtu kuchezea akili yako kwa dawa mpaka ukampa pesa?!!...no way! akinionyesha mtutu sina ujanja nampa tu.
 
Back
Top Bottom