Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,675
- 126,904
Hawana umoja ndiyo shidaWalimu mnahudumiwa kutokana na vile mlivyo.
Hawana umoja ndiyo shidaWalimu mnahudumiwa kutokana na vile mlivyo.
Pole kichwa kinashinda shughuli za umma hazifanywi na kipato cha mtumishi, kwani mwalimu si kaajiliwa kwa kujibu wa sheria kwani yeye kaajiliwa kwa hisani . Mawazo yako ndio mgando na huwezi kujua unaathirika vipi pengine huko kwenye mfumo taafakari kisha jengo hajo sio madharauMwalimu bwana kwaiyo unataka uisaidiaje nchi yako serikali imekupa ajira, imekupa kishwambi inakupa mshahara wewe kuweka bando la buku mbili tu unahisi umeonewa acha mawazo mgando some times vitu vidogo vidogo unapotezea unaangaliq utareplace wapi siyo kupiga kelele kwa vitu ambavyo haviathiri maisha yako
Mawazo Yako ni ya kijinga sana.Mwalimu bwana kwaiyo unataka uisaidiaje nchi yako serikali imekupa ajira, imekupa kishwambi inakupa mshahara wewe kuweka bando la buku mbili tu unahisi umeonewa acha mawazo mgando some times vitu vidogo vidogo unapotezea unaangaliq utareplace wapi siyo kupiga kelele kwa vitu ambavyo haviathiri maisha yako pm
mwambie wengine hatujui hata rangi ya kishukwambi na tunafanya kazi kulingana na mazingira yetuMwalimu bwana kwaiyo unataka uisaidiaje nchi yako serikali imekupa ajira, imekupa kishwambi inakupa mshahara wewe kuweka bando la buku mbili tu unahisi umeonewa acha mawazo mgando some times vitu vidogo vidogo unapotezea unaangaliq utareplace wapi siyo kupiga kelele kwa vitu ambavyo haviathiri maisha yako
Kumbe kuna bundle la jero huko mliko na hamsemi!!!Nikajua ishu kuubwaa kumbe bundle la jero.
Taaluma hai heshimiwa kwa kutumia rasilimali zako kufanya shughuli za umma. Kama ingekuwa hivyo usingesikia wadau wanaenda waashaaHapa kadharirisha taluuma
Huo ni uzembe wako kikujua kinapatikana wapi, na pengine umeeajiliwa janamwambie wengine hatujui hata rangi ya kishukwambi na tunafanya kazi kulingana na mazingira yetu