kanamaheri
Senior Member
- Sep 24, 2021
- 104
- 84
Inawezekana kwenye kundi la utumishi mwalimu sio sehemu ya utumishi huo. Kwenye ofisi za umma na kufanya shughuli za umma watumishi husika hutumia rasilimali za ofisi au kitengo kufanya mambo ya ofisi na kitengo husika, hii ni tofauti na kada ya ualimu mtu unatakiwa kutumia rasilimali fedha ya mshahara wako kufanya shughuli za kiofisi.
Ita majina ya mahudhurio ya wanafunzi kwa mfumo unaambiwa weka bando na hela yako ya kula na watoto nyumbani kwako, kwani kama rasilimali mali fedha hazitoshi si tuahirishe kufanya shughuli zingine ambazo zinahitaji fedha.
Kwanza kama mmewagawia vishikwambi mmeshindwaje kufunga mifumo ya internet itumike wakati ule mnaotaka watu waite hayo mahudhurio kwa mfumo!!!! Nchi hii kuna watumishi na wafanyakazi.
Ita majina ya mahudhurio ya wanafunzi kwa mfumo unaambiwa weka bando na hela yako ya kula na watoto nyumbani kwako, kwani kama rasilimali mali fedha hazitoshi si tuahirishe kufanya shughuli zingine ambazo zinahitaji fedha.
Kwanza kama mmewagawia vishikwambi mmeshindwaje kufunga mifumo ya internet itumike wakati ule mnaotaka watu waite hayo mahudhurio kwa mfumo!!!! Nchi hii kuna watumishi na wafanyakazi.