Je kama ni bidhaa kwa ajili ya biashara yake.Hii ni bili ya masaa machache tu, mtu anadaiwa milioni 23 na ushee kwenye vinywaji! Wewe ulishawahi kuletewa bili kubwa ya sh ngapi?
InafikaMbona kwa haraka haraka tu haifiki hiyo hela? Hapo nadhani moral of the story ni jamaa kubambikiwa hiyo profoma sio sahihi, Halafu hiyo sio bill bhana ni just profoma ambayo anaweza akalipa au asilipe kwani ni kabla ya matumizi
Mleta mada ni kilaza mkuuHii ni bili ya masaa machache tu, mtu anadaiwa milioni 23 na ushee kwenye vinywaji! Wewe ulishawahi kuletewa bili kubwa ya sh ngapi?
Mleta mada ni kilaza mkuu
Ujuaji mwingi yaani ni bora angeuliza ili apewe muongozo 😁sasa yeye anataka kutuletea chai za mchanaMleta mada ni kilaza mkuu
Mbunye haipo hapo.......Hii ni bili ya masaa machache tu, mtu anadaiwa milioni 23 na ushee kwenye vinywaji! Wewe ulishawahi kuletewa bili kubwa ya sh ngapi?
Usipende kukurupuka , angalia siku nyingine usije kupost msambwanda wako, maana c kwa kukurupuka hukoKama alivyo mumeo