GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,871
" Eti siku zote Mume akifa na UKIMWI hata Mke nae atafuata muda si mrefu ". Wakaenda mbele zaidi na kusema " kawaida Mke mwema hupenda sana kuongozana na Mumewe kila aendapo " na wa mwisho akasema kwamba eti " hata kama Mwanamke ana Wanaume wengi ila kuna mmoja popote atakapokuwa anaenda basi lazima tu Yeye atamfuata ".
Hivi kwanini Watanzania mna Utani mbaya sana halafu unachoma hadi Kumoyo? Akhsanteni sana Uganda Revenue Authority ( URA ) na Shukrani nyingi ziende kwa Mkulima wa Kizambia ambaye bado alikuwa Pesa yake ya Mavuno nchini Tanzania hivyo na Yeye kaamua ' Kukinukisha ' na kwamba kama noma na iwe noma.
Mji leo kimya ' Kudadadeki '. Tutaheshimiana tu mwaka huu na sijui kama kwa spidi yangu ya hatua tano ( 5 ) nilizokuacha nazo utanikamata na usidhani ubovu wangu wa Kizanzibari ndiyo huo huo utaonekana Bara kwani kwa sasa sina tena cha Kujivunia zaidi hili lililobaki na sasa ndiyo tunaanza kufanya ' Fitna ' ili ' Washamba ' wa Chamazi ' wakutese ' ili upotee kabisa kisha njia yangu iwe nyeupe.
Nawasilisha.
Hivi kwanini Watanzania mna Utani mbaya sana halafu unachoma hadi Kumoyo? Akhsanteni sana Uganda Revenue Authority ( URA ) na Shukrani nyingi ziende kwa Mkulima wa Kizambia ambaye bado alikuwa Pesa yake ya Mavuno nchini Tanzania hivyo na Yeye kaamua ' Kukinukisha ' na kwamba kama noma na iwe noma.
Mji leo kimya ' Kudadadeki '. Tutaheshimiana tu mwaka huu na sijui kama kwa spidi yangu ya hatua tano ( 5 ) nilizokuacha nazo utanikamata na usidhani ubovu wangu wa Kizanzibari ndiyo huo huo utaonekana Bara kwani kwa sasa sina tena cha Kujivunia zaidi hili lililobaki na sasa ndiyo tunaanza kufanya ' Fitna ' ili ' Washamba ' wa Chamazi ' wakutese ' ili upotee kabisa kisha njia yangu iwe nyeupe.
Nawasilisha.