Kuna watu walizoea kubebwa!

Kuna watu walizoea kubebwa!

Tetete nyalandu aliwaambia wananchi jimboni,alipoenda kufanya sherehe eti za kuwa mbunge for 15yrs,eti anaenda kugombea urais wampe kura.
 
kuna yule mbunge wa Geita alikuwa anajitapa na kuwaambia watu wa geita eti atakuwa waziri wa nishati na madini,wengi wao walidhani mbeleko itaendelea kuwepo
 
JIULIZE MPAKA LEO KASHATEUA WABUNGE wa kuteuliwa 6 KATI YA 10, kwa kukosa WABUNGE WA CCM wenye sifa, je ikitokea kufukuza waziri 7 kazi, atapata wapi wengne au ndo itakuwa bora liende? MAANA RESERVE INAKARIBIA KUISHA wamebaki 4 tu!
 
mkuu hiyo paragraph yako ya mwisho sioni kama ni nzuri. usisababishe watu wakaanza kuhisi wanabaguliwa. nakuhakikishia huyo magufuli hataiweza hii nchi. kama unaakili usingeyaingiza hayo mambo humu. fanya shughuli zako kujitafutia kipato mkono uende kinywani na sio kuleta uchochezi humu.

Awamu hii naomba nikiri kabisa ni awamu ya kusomesha watu namba kama ilivyokuwa kwenye wimbo wa hawa jamaa! Kwanza wanaosemeshwa namba ni maccm yaliyoshinda majimboni, haya majamaa yalikuwa yanapiga kampeni huku mitaani eti oooh nipeni kura ili mpate waziri (hawa wote chali). Sasa hivi watakuja mitaani kwa kujificha. Rais aliwaona hawafai ndo maana kaenda kuazima nje kwa baadhi ya wizara. Yaani Kangi Lugola hata wizara ya wanyamapori ulikuwa hufai? Masele hata ujenzi hukufit? Wacha muisome namba!

Kundi la pili ni wale waliotegemea kubebwa kwa mgongo wa udini! Awamu iliyopita ilikuwa ya kupalilia udini sana lakini awamu hii haiangalii mambo ya udini hata kama itakuwa 2/10 ni sawa tu mradi watu wawe na uwezo. Katika kuthibitisha hilo baraza hili ni 9/22 sasa sijui waliozoea kubebwa wataandana? Wacha tusubiri, time will tell!! "HAPA KAZI TU" Usitegemee dini itakubeba au jinsi itakubeba!
 
Mmemsahau Hawa Abdulrahmani Ghasia, nae chali ndembendembe kifo cha mende uminisiteri!
 
kuna yule mbunge wa Geita alikuwa anajitapa na kuwaambia watu wa geita eti atakuwa waziri wa nishati na madini,wengi wao walidhani mbeleko itaendelea kuwepo

Hata mi nlijua Coster atadaka uwazir maana zile tambo!! Mh
 
Huyu naye yuko anaisoma namba taratibu! Dr. Kamala kwishney, Mh. Chegeni finito! Lazaro Nyarandu kuishney! Wakuu let us be honest, hivi mtu unaacha Ubalozi unakinbilia ubunge maanake nini? Au ndo hao wanaoota uwaziri ili wapige mpunga kisawasawa? Hivi heshima ya mbunge inazidi ya balozi? Kwa kweli Dr. Kamala atakuwa anajuta sana (kutoka Belgium mpaka Nkenge?).

Huyu Dr. Kamala ndio kachemka kabisaa!
 
Mmemsahau Hawa Abdulrahmani Ghasia, nae chali ndembendembe kifo cha mende uminisiteri!

Amshukuru DHAIFU kwa kumpa miaka kumi ya ulaji kwani huyu mama alikuwa hafai hata kwa bure!!!
 
Huyu naye yuko anaisoma namba taratibu! Dr. Kamala kwishney, Mh. Chegeni finito! Lazaro Nyarandu kuishney! Wakuu let us be honest, hivi mtu unaacha Ubalozi unakinbilia ubunge maanake nini? Au ndo hao wanaoota uwaziri ili wapige mpunga kisawasawa? Hivi heshima ya mbunge inazidi ya balozi? Kwa kweli Dr. Kamala atakuwa anajuta sana (kutoka Belgium mpaka Nkenge?).

Kamala aliacha Ubalozi huko Ubelgiji
akidhani atapata uwaziri.. Hahahahaa. Imekula kwake.
 
Ubalozi hauna fedha ndefu. Unaishi kwa bajeti finyu tuu na pesa ya madurufu ya visa na kama ndio umepangiwa msumbiji au burundi imekula kwako labda uwe smuggler

Naona Mkuu umesahau yaliyotokea Rome wakati wa Mkapa! Prof. Mahalu alivuta 3 billion na kesi likawagaraza
 
Amshukuru DHAIFU kwa kumpa miaka kumi ya ulaji kwani huyu mama alikuwa hafai hata kwa bure!!!

Yule mama uwezo wake ulikuwa mdogo sana midomo inaonekana mizito sana ile! Huyo mama ni liability hata kuwa naye kama mke wako!
 
Naona Mkuu umesahau yaliyotokea Rome wakati wa Mkapa! Prof. Mahalu alivuta 3 billion na kesi likawagaraza

Sio kwa dunia ya sasa EU yenyewe haina pesa za kumpa Greece. Sasa hiyo kazi ni posho na conferences tuu. Enzi ya mzee Mkapa fedha ilikuwapo. Though unaweza kuwa broker wa investors refer to balozi wa tz southafriva wa wakati ule kila kwenye board member alikuwamo mpaka dstv.
 
Sio kwa dunia ya sasa EU yenyewe haina pesa za kumpa Greece. Sasa hiyo kazi ni posho na conferences tuu. Enzi ya mzee Mkapa fedha ilikuwapo. Though unaweza kuwa broker wa investors refer to balozi wa tz southafriva wa wakati ule kila kwenye board member alikuwamo mpaka dstv.

Unamuongelea balozi Ami Mpungwe, kila mwekezaji wa south Africa yeye ndo alikuwa mjumbe wa bodi au msemaji wake! Kwani balozi zetu zinategemea misaada?
 
Back
Top Bottom