Kuna watu ni wapuuzi

Duuh,hivi Jf unapojisajili hakuna interview?kujua uwezo WA kujieleza!
Kama hakuna nashauri iwepo ili kuepuka hizi kero!
usipende kitonga mkuu, jifunze kusoma kitu hata mara mbili ili uelewe sio kila kitu uelewe mara moja tu,hakuna mwenye akili hiyo
mimi naamini hata majibu ya yesu aliyokuwa akiwapa watu,wapo waliomuona ni mtu mwenye matatizo lakini matatizo walikua nayo wenyewe.
ifunze akili yako ku analyse vitu , jaribu kutaka kujua ,like huyu mtu kaongea au kuandika hivi what was his idea ?, learn to see things from the other side, ukiishi kuona kitu kama kilivo tu bila kukiangalia kwa upande mwingine utaishia kuoelewa au kuelewa vingine
 
Sio kila kitu uandike jamio forum.. Vingine hadithia hata kwa rafiki zako ili siku iende....
unajua maana ya kuwa na jamiiforums ? unajua lengo la kuwa na hili jukwaa ?
mkuu, naamini in evolution times you are million of years behind us
 
Mkuu umefikaje chuo mbona huwez kujielezea 🤨 nyie ndio wapiga chabo darasani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…