masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,827
- 16,911
- Thread starter
-
- #21
Mdai kama vipi peleka kesi kwa mwenyekiti wa mtaa anakua mbabe kwenye jasho la mtu
Mimi nilitukanwa wakati pesa yangu. Mtu namtumia meseji ya kukumbushia deni langu najibiwa "weee ukome tena ukomae" nikawa mdogo tu
Siyo lazima kovu liwe la uso mura hata kichwani kwa mbele ambapo itaonyesha kuwa ulikuwa unapambana......hahaahaha inatakiwa ikupate ya uso?
Ungemuuliza kuwa imekuwaje, maana ulisema utanilipa kesho yake ukienda ATM? Kwa hiyo utanilipa lini, maana na mimi nimebanwa? Baada ya hapo we mwambie ok, lakini nilitoa akiba yangu kwa kujua utarejesha. kisha achana naye tu, act like nothing happened!
Siyo lazima kovu liwe la uso mura hata kichwani kwa mbele ambapo itaonyesha kuwa ulikuwa unapambana......
acha tu ndugu yaan jamaa kila siku anaenda kazini mpaka leo huwa nasema kulipa deni kipaji sio uwezo
Hapana Mkuu ni wa kuzaliwa nao tu.......kuna wakati fulani miaka ya themanini kulitokea vurugu kwenye mnada Mdogo wangu alipigwa mshale kwenye makalio nilitaka kuuchomoa lakini alinishauri tuuache hivyo hivyo ili baba akauone ulivyoingia.......na ikawa hivyo...........duh hivi huo ujasiri mnautoaga wapi mnafundishwaga jandoni ama??
nakumbuka nilishakaaga sehemu mpangaji mwenzangu akanigongea mida ya jioni akaniambia naomba niazimishe kiasi flani cha pesa hapa sina sijapitia ATM alafu akadai kuna mtu nataka nimtumie jamaa ni mkurya,nikampatia kwa madai ya kunipa kesho yake jioni sasa mimi nimekaa almost kama wiki hivi jamaa hajiongezi mmh nikasema kama alivokuja kunigongea na mimi ngoja niende japo hakikua kiasi kikubwa cha ela ila sikuona umuhimu wa kunyamaza kwan halikua patano letu unajua jamaa alinijibuje SASA MIMI UNANIDAIJE WAKATI SINA(imagne kwa lugha ya kikurya) mpaka naondoka sikumdai
WEWE USHAFANYIWAGA UBABE GANI?
Wekako kapicha basi
Kulipa deni ni fani, au mtu unajifunza na ukifuzu practical yake inabidi uwe mzalendo.
Hapana Mkuu ni wa kuzaliwa nao tu.......kuna wakati fulani miaka ya themanini kulitokea vurugu kwenye mnada Mdogo wangu alipigwa mshale kwenye makalio nilitaka kuuchomoa lakini alinishauri tuuache hivyo hivyo ili baba akauone ulivyoingia.......na ikawa hivyo...........
kuna msanii Bellenain aliimba "Ukitaka kuwa mbaya dai chako-umejenga uadui kati yangu mi na ndugu zako" "bora mfadhili mbuzi, utakula mchuzi" ndo hivyo! Dawa yake hakuna kukopeshana.
nimecheka kwel nlivoeka hyo saut ya kikurya,,hyo inaitwa ukitaka ubaya dai chako