Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,101
Kwanza nianze kwa kukiri moja kwa moja tukio hili limenikuta Mimi na wala kama sio wana jamii forum wengine huwa wanatumia neno jamaa yangu wakati ni wao wenyewe!
Ni hizi mwezi uliopita nilikutana na manzi mmoja hivi matata nikasaundisha fasta baada ya wiki akaja ghetto nikala papuchi!
Kama ilivyo kawaida yangu ndani ya wiki moja nikaakikisha nimekula papuchi Mara 5
Baada ya kuijua kila engo ya papuchi yake nikaona sasa ni wakati muafaka wa kumpiga chini na kuwa busy na kujenga viwanda vingine!
Sasa Demu akawa akipiga sipokei SMS sijibu wala nini!
Sasa Leo tumekutana gafla town sehemu ya watu wengi Demu akaniita nikamwambia sitaki mazoea,Mara kwa hasira akaja kunikunja shati huku watu wakishuudia nikataka nimpige vichwa vya kutosha lkn pembeni yangu niliona police wapo kama mita 50,nikaona hapa nikimpiga tu kwanza nitajaza watu wengi sana na police nitawapa faida!
Basi nikawa mpole,nikamwambia bibie kwani vipi?
Akasema alikuwa ananipigia ila sipokea wakati ana mimba yangu tena kwa sauti ya juu watu wote wanasikia bila chenga!
Kwahiyo akaniambia hapo hawezi kuniachia shati hata iweje hadi twende wote hospital tukahakikishe hiyo mimba ama nimpe 50k akatoe!
Mzee kwa ile fedhea na baadhi ya wasamaria wema kuingilia kati ikabidi tu kishingo upande nifanye mpango wa huo muamala ndio Mzee kuachiwa kinyonge huyo nikasepa!
Na nikamblock kabisa na nikamwambia tusijuane milele!
Hicho ni kisanga kilichonikuta Leo
Ni hizi mwezi uliopita nilikutana na manzi mmoja hivi matata nikasaundisha fasta baada ya wiki akaja ghetto nikala papuchi!
Kama ilivyo kawaida yangu ndani ya wiki moja nikaakikisha nimekula papuchi Mara 5
Baada ya kuijua kila engo ya papuchi yake nikaona sasa ni wakati muafaka wa kumpiga chini na kuwa busy na kujenga viwanda vingine!
Sasa Demu akawa akipiga sipokei SMS sijibu wala nini!
Sasa Leo tumekutana gafla town sehemu ya watu wengi Demu akaniita nikamwambia sitaki mazoea,Mara kwa hasira akaja kunikunja shati huku watu wakishuudia nikataka nimpige vichwa vya kutosha lkn pembeni yangu niliona police wapo kama mita 50,nikaona hapa nikimpiga tu kwanza nitajaza watu wengi sana na police nitawapa faida!
Basi nikawa mpole,nikamwambia bibie kwani vipi?
Akasema alikuwa ananipigia ila sipokea wakati ana mimba yangu tena kwa sauti ya juu watu wote wanasikia bila chenga!
Kwahiyo akaniambia hapo hawezi kuniachia shati hata iweje hadi twende wote hospital tukahakikishe hiyo mimba ama nimpe 50k akatoe!
Mzee kwa ile fedhea na baadhi ya wasamaria wema kuingilia kati ikabidi tu kishingo upande nifanye mpango wa huo muamala ndio Mzee kuachiwa kinyonge huyo nikasepa!
Na nikamblock kabisa na nikamwambia tusijuane milele!
Hicho ni kisanga kilichonikuta Leo