kuna wanawake hawakatai

kuna wanawake hawakatai

Status
Not open for further replies.

iphone 18 promax

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2012
Posts
2,914
Reaction score
2,142
Yaani kuna wanawake hawakatai ukiomba tu hata ulikuwa unajaribu utasikia tu unaambiwa ni wewe tu na akija tena mwingine anakubaliwa hawariziki miili yao walishaitoa sadaka kama yesu msalabani
 
Mkuu hata ukiomba kwa mungu lazima uangalie mazingira ukijichanganya tu kazi bure nipo saizi job nimetest kuimbisha mfanyakazi mwenzangu nimekubaliwa yaani wanawake ni pasua kichwa
Acha umatonya Mkuu! Wenzio tunaomba kwa Mwenyezi Mungu we unaomba wanawake .......
 
Sijazidi mkuuu kuwa ombaomba ila yeye ndio kaanza eti ananitania baby lini unanitoa out wakati anajua ninamke kabisa kama yeye ndio hana akili nimemwambia alipie ghalama za out
nawewe umezidi kuomba omba.
 
Sijazidi mkuuu kuwa ombaomba ila yeye ndio kaanza eti ananitania baby lini unanitoa out wakati anajua ninamke kabisa kama yeye ndio hana akili nimemwambia alipie ghalama za out

umemjengea mazoea mpaka anaweza kukutamkia hayo.
 
kweli nasadiki maneno ya da snowhite wanaume wamebaki wachache sasa unatuambie sisi tufanye nini? kama unaona si vizuri si umkanye hapohapo? ukisikia unafiki ndio huo.
Sijazidi mkuuu kuwa
ombaomba ila yeye ndio kaanza eti ananitania baby lini unanitoa out
wakati anajua ninamke kabisa kama yeye ndio hana akili nimemwambia
alipie ghalama za out
 
Last edited by a moderator:
Ni wazuri mimi nawapenda sana hakuna kuzungushana
 
ila wewe unaekubali kutolewa out kwa gharama za mwanamke na huku ukifahamu fika umeoa ndio unaakili eeh?
Sijazidi mkuuu kuwa
ombaomba ila yeye ndio kaanza eti ananitania baby lini unanitoa out
wakati anajua ninamke kabisa kama yeye ndio hana akili nimemwambia
alipie ghalama za out
 
Yaani kuna wanawake hawakatai ukiomba tu hata ulikuwa unajaribu utasikia tu unaambiwa ni wewe tu na akija tena mwingine anakubaliwa hawariziki miili yao walishaitoa sadaka kama yesu msalabani
Sasa yeye anatatizo gani, ungekaa kimya akakupa ndo ungelalama...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom