Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,897
- 6,933
Hahaha! NASA hawajakamata kiumbe chochote kutoka sayari nyingine, wala hawajakiona hata kimoja, kwa lugha nyingine umedanganywa mchana kweupeeeee... Hahaha! Kwenye sayari nyingine kuna viumbe ndio ila sio viumbe hai, hapa naongelea kuna vitu kama mawe, zipo nyingine zinasemekana kua na maji, kuna sayari nyingine ni almasi peke yake, madini mbalimbali kama chuma yamejaa mars, nyingine zimetengenezwa kwa gases nzito, na kadhalika, ila kiumbe hai hakijapatikana HATA KIMOJA... Anayekwambia vingine anataka kunogesha story tu.. ila ulimwengu ni mkubwa sana, sana sana ukisema uumalize utapanda rocket miaka tilioni unasafiri na bado hujafika hata nusu, kwa ukubwa huu labda siku moja tutabahatisha viumbe hai.. japo pia speed ya rocket zetu ni 11km/s, hapa hadi mars tu karibu kabisa tunatumia miezi sita kusafiri kufika... Sayari yenye maji iliyoko mbali itatuchukua miaka milioni kadhaa kwa speed hiyo hilo nalo tatizo... Tusubiri kuna technology mpya inaitwa warp drive endapo itawezekana basi tutaweza kwenda kwa sekunde tu.... Till then hakuna kitu kama uhai sehemu nyingine..
Hii balaa huyu ndiye Anunnaki?
kiukweli viumbe hao wapo na tanzania wapo watatu
maandiko yanasema dunia itakua chini ya utawala wa shetani kabla ya kukombolewa na mungu yesu mungu wa wote
Viumbe sayari nyingine??!! Tena usithubutu kujidanganya kwamba kuna viumbe hai pengine tofauti na hapa duniani.
Kiufupi NASA wameona kila siku hawana jipya,kwa hiyo wanatafuta uongo usio na mbele wala nyuma kudanganya binadamu.
Kama biblia au vitabu vingine vya dini havisemi hivyo kwanini ujisumbue na vitu ambavyo havikuhusu?.
Na hawa NASA nao ni nini wanatafuta kama sio kumchokoza MUNGU?
Haya wakisha jua kwamba kuna viumbe wengine lets say kwenye jupiter, watafanya nini kama si uchokozi tu??
Si unaona jinsi wamekosa akili ?
So my friend. Dont believe hear says. There is much lies more than you expected.
And if you believe a lie, then you gonna be damned by that lie.
Nimekuwa nikifikiria kila wakati na kutaka kujua kama kuna viumbe kwenye sayari zingine. Juzi tulikuwa tunapiga stori za hapa na pale. Jamaa mmoja akaanza kutuelezea kuwa kunaviumbe NASA wamewaona na wakabahatika kumkamata mmoja. Viumbe hao walitoka sehemu tofauti na dunia. Na kulikuwa name tishio la viumbe hao kuangamiza dunia.
Wanajamvi mwenye taarifa kamili tafadhari. Nimegoogle sijapata majibu.
Habari za kufikirika na tekinolojia itakapokua zitakuwa habari za kufikika. Uwezo wa zana zetu hauwezi kuona detail katika galax yetu kutokana na umbali ambao mwanga tu huchukua miaka mingi kufika. Uwezekana upo ila tekinolojia tuliyonayo haina uwezo wa kufika na kubaini huko. Siri ya Mungu atakapoamua kutufunulia ndipo tutajua. Kwa sasa kaweka ukingo ambao hatuwezi kuuvuka.
Kubisha hakuna maana sana maana yake inaweza kudhoofisha juhudi za utafiti. Mbona hata dunia waliosema iko duara waliambiwa wazushi na wakauawa lakinileo hii hakuna ubishi?
Hakuna aliyebishana, kauliza swali jibu nililompa ni kua hakuna kiumbe chochote kilichopatikana, na ndio ukweli huo kabda kama una ukweli wako mwingine ambao inabidi ulete proof..
Afu unavosema vingine Mungu kafunika tusione, we unajua ni vipi hivo? nahisi walisema maneno hayohayo kabla ndege haijatengenezwa, ati Mungu hakuujba binadamu aweze kufika mawinguni.. sayansi inavokua tutafika tu sayari nyingine, tukimaster warp drive hata galaxy nyingine tutafika tena ndani ya muda mfupi, hakuna kitu ka Mungu kafunga, tusipojaribu hatuwezi kujua mwisho kuna nini, hadi tufike sehemu tuseme sasa tume-master universe na hapo hautakua mwisho, ndio kwanza mwanzo...
Ahsante sana. Kwa wale walionipa indications. Kuhusu UFO name Alien. Nimepitia kwenye mitandao na nimegundua maisha so duniani tu.
Ninawashauri wale wenye kukomenti bila kujua na kujifanya wanajua bila evidence na kudhani wako sahihi si vizuri.
Nimekuwa nikifikiria kila wakati na kutaka kujua kama kuna viumbe kwenye sayari zingine. Juzi tulikuwa tunapiga stori za hapa na pale. Jamaa mmoja akaanza kutuelezea kuwa kunaviumbe NASA wamewaona na wakabahatika kumkamata mmoja. Viumbe hao walitoka sehemu tofauti na dunia. Na kulikuwa name tishio la viumbe hao kuangamiza dunia.
Wanajamvi mwenye taarifa kamili tafadhari. Nimegoogle sijapata majibu.
Exactly
maisha sio duniani tu hata mbinguni naamini yapo
Hahaha! NASA hawajakamata kiumbe chochote kutoka sayari nyingine, wala hawajakiona hata kimoja, kwa lugha nyingine umedanganywa mchana kweupeeeee... Hahaha! Kwenye sayari nyingine kuna viumbe ndio ila sio viumbe hai, hapa naongelea kuna vitu kama mawe, zipo nyingine zinasemekana kua na maji, kuna sayari nyingine ni almasi peke yake, madini mbalimbali kama chuma yamejaa mars, nyingine zimetengenezwa kwa gases nzito, na kadhalika, ila kiumbe hai hakijapatikana HATA KIMOJA... Anayekwambia vingine anataka kunogesha story tu.. ila ulimwengu ni mkubwa sana, sana sana ukisema uumalize utapanda rocket miaka tilioni unasafiri na bado hujafika hata nusu, kwa ukubwa huu labda siku moja tutabahatisha viumbe hai.. japo pia speed ya rocket zetu ni 11km/s, hapa hadi mars tu karibu kabisa tunatumia miezi sita kusafiri kufika... Sayari yenye maji iliyoko mbali itatuchukua miaka milioni kadhaa kwa speed hiyo hilo nalo tatizo... Tusubiri kuna technology mpya inaitwa warp drive endapo itawezekana basi tutaweza kwenda kwa sekunde tu.... Till then hakuna kitu kama uhai sehemu nyingine..
Hivi umejaribu kumaliza kusoma nlichoandika? alafu almasi mawe chuma etc viko classified kama non-living organisms, viumbe visivyo hai.. au huelewi maana ya neno kiumbe... wewe unahisi kiumbe ni kile tu chenye miguu na mikono basi umemaliza? alafu sentensi ya gu ya kwanza kabisa imemjibu swali lake nashangaa kwa nini ume-criticize nlichoandika...Hukulewa swali au? Almasi,mawe, chuma... ni viumbe?
Hivi umejaribu kumaliza kusoma nlichoandika? alafu almasi mawe chuma etc viko classified kama non-living organisms, viumbe visivyo hai.. au huelewi maana ya neno kiumbe... wewe unahisi kiumbe ni kile tu chenye miguu na mikono basi umemaliza? alafu sentensi ya gu ya kwanza kabisa imemjibu swali lake nashangaa kwa nini ume-criticize nlichoandika...
nimesema hawajakamata viumbe hai mbona mtanzania unalazimisha ubishi huku hata mtoto mdogo angeelewa nlichoandika, watu ka wewe hua mnabisha ilimradi kubisha sijui kuprove ur selves to who.. sentensi yangu "kuna viumbe ila sio viumbe hai" afu nikampa mfano hukuielewa? sina muda wa kubishana na wewe tafuta mwingine mshamba kama wewe asiyeelewaDah ndugu yangu sijui unajua unachokiandika. Umesema mawe ni viumbe halafu hapohapo NASA hawajakamata kiumbechochote. Lugha gongana.
nimesema hawajakamata viumbe hai mbona mtanzania unalazimisha ubishi huku hata mtoto mdogo angeelewa nlichoandika, watu ka wewe hua mnabisha ilimradi kubisha sijui kuprove ur selves to who.. sentensi yangu "kuna viumbe ila sio viumbe hai" afu nikampa mfano hukuielewa? sina muda wa kubishana na wewe tafuta mwingine mshamba kama wewe asiyeelewa