el nino
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,712
- 5,065
umetahiriwa??Tokea Condoms zizinduliwe duniani hadi hivi leo sijawahi Kuzitumia na wala sina Mpango wa Kuzitumia na sijawa Mpumbavu / Popoma wa kiasi hicho cha Mimi kuzitumia na huwa siwashangai tu bali huwa ninawadharau pia Wanaume wote wanaozitumia. Hivi mnaotumia Condoms mnataka kusema kwamba Mwenyezi Mungu hakuwa na Akili hadi akatuumba Sisi Wanadamu jinsi tulivyo na kututaka tuje duniani tuzaane na dunia yake iongezeke? Kama Yeye aliyetuumba huko Mbinguni Kwake hakutukabidhi Condoms Sisi Wanaume inakuwaje leo hii Wanadamu Wenzetu waje ' Watudanganye ' na watulazimishe Kuzitumia? Hivi Kuvaa Condoms kuna tofauti gani na Mtu kupiga Punyeto? Yaani Mwanaume Rijali kabisa na una Akili zako unavaa Condoms? Poleni zenu.
kama ndio, unadhani kwanini ulizaliwa na hiyo nyama ?
