Kuna uwezekano mkubwa Iran atatandikwa tena bila huruma na Israel

Kuna uwezekano mkubwa Iran atatandikwa tena bila huruma na Israel

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
6,929
Reaction score
6,030

View: https://www.youtube.com/live/rd4iTiIAyWE?si=Ln7ESumnzg-nX6oS

Je, Israel iko tayari kuishambulia Iran tena kabla ya mwaka kuisha? Majenerali wakuu wa Iran wamekiri wazi kuwa wanajiandaa kwa vita vikubwa na vyenye umwagaji damu zaidi — na Netanyahu amefichua maelezo ya kushangaza kuhusu maendeleo yao ya nyuklia. Je, Israel itazindua shambulio la kujihami mapema ili kuendelea kuishi?

Tazama taarifa hii ya dharura kuhusu Mashariki ya Kati na ufahamu kile ambacho vyombo vikuu vya habari havitakuambia.
 
1 Mkuu wa Jeshi la Israel, Luteni Jenerali Eyal Zamir, amesema kuwa Israel inapaswa kujiandaa kwa "kampeni ya muda mrefu" dhidi ya Iran ili kuondoa tishio la nyuklia.

2 Baadhi ya wachanganuzi, kama vile Trita Parsi wa Quincy Institute, wanasema Israel inaweza kuwa ikijiandaa kwa vita vingine kabla ya Desemba 2025, labda hata mwishoni mwa Agosti, ikiwa itapata "ruhusa" kutoka Marekani. Hata hivyo, hii inategemea mambo kama maendeleo ya nyuklia ya Iran na hali ya kisiasa ndani ya Israel
 
Safari hii Ayatollah lazima akalakiwe na mabikra 72 wenye macho kama mayai na wasioenda choo na pia anaenda kunywa pombe ya kwenye mito ya akhera. Kila la heri Ayatollah.
 
1 Mkuu wa Jeshi la Israel, Luteni Jenerali Eyal Zamir, amesema kuwa Israel inapaswa kujiandaa kwa "kampeni ya muda mrefu" dhidi ya Iran ili kuondoa tishio la nyuklia.

2 Baadhi ya wachanganuzi, kama vile Trita Parsi wa Quincy Institute, wanasema Israel inaweza kuwa ikijiandaa kwa vita vingine kabla ya Desemba 2025, labda hata mwishoni mwa Agosti, ikiwa itapata "ruhusa" kutoka Marekani. Hata hivyo, hii inategemea mambo kama maendeleo ya nyuklia ya Iran na hali ya kisiasa ndani ya Israel
Nini chanzo cha habari yako hii??
 
Kwani Iran bado anatengeneza silaha za kinyuklia ?
 
Ukiona hivyo Mosaid wameshakusanya taarifa zote za kiinteligensia za maeneo ya Iran ya kurushia Makombora ya Masafa marefu!
Kilichobaki ni siku na wakati wa kufanya Preemptive strikes tu!
Maana Iran hana cha kujivunia zaidi ya mifumo ya kurushia drones na Balistic missiles.
 

View: https://www.youtube.com/live/rd4iTiIAyWE?si=Ln7ESumnzg-nX6oS

Je, Israel iko tayari kuishambulia Iran tena kabla ya mwaka kuisha? Majenerali wakuu wa Iran wamekiri wazi kuwa wanajiandaa kwa vita vikubwa na vyenye umwagaji damu zaidi — na Netanyahu amefichua maelezo ya kushangaza kuhusu maendeleo yao ya nyuklia. Je, Israel itazindua shambulio la kujihami mapema ili kuendelea kuishi?

Tazama taarifa hii ya dharura kuhusu Mashariki ya Kati na ufahamu kile ambacho vyombo vikuu vya habari havitakuambia.

Ndio tuamini kwamba"kazi walioifanya pamoja na marekani haikufikia malengo yao, au sio!?
 
Ukiona hivyo Mosaid wameshakusanya taarifa zote za kiinteligensia za maeneo ya Iran ya kurushia Makombora ya Masafa marefu!
Kilichobaki ni siku na wakati wa kufanya Preemptive strikes tu!
Maana Iran hana cha kujivunia zaidi ya mifumo ya kurushia drones na Balistic missiles.
Kwani hao mossad si ndio walimwanbia netanyahau iran amebaki na makombora elf 2 wakamfanya mpk kaanzisha vita kwa kujua iran hana silaha za kutosha matokeo yake kaomba ceasefire kupitia mume wake USA baada kugundua kapewa taarifa za uongo maana makombora yanagonga tel aviv km mvua na hayana dalili ya kuisha.
 
Nani aliomba vita isimame.
Acha ujinga Israel ndiyo ilianza kuishambulia Iran kwa hiyo Iran hakupaswa kukubali kusimamisha vita maana ndiye aliyechokozwa!!

Iran alikubali kusimamisha vita kwa sababu Maji yalikuwa shingoni hakuna na namna bali kukubali tu.
 
Kwani hao mossad si ndio walimwanbia netanyahau iran amebaki na makombora elf 2 wakamfanya mpk kaanzisha vita kwa kujua iran hana silaha za kutosha matokeo yake kaomba ceasefire kupitia mume wake USA baada kugundua kapewa taarifa za uongo maana makombora yanagonga tel aviv km mvua na hayana dalili ya kuisha.
Hayo sasa ni maneno ya kujifariji na kujipa moyo baada ya kipigo cha siku 12 ambacho kilisababisha makamanda waandamizi wa jeshi dhaifu la Iran 30+ kuuwawa kijinga.

Kinachonichekesha sana mimi ni kuwa Iran amevunja rekodi ya kwanza duniani kwa Jeshi lake kupoteza makamanda wake waandamizi 30+ kwa siku moja akiwemo Mkuu wa Majeshi hii ni aibu ambayo hakuna jeshi duniani limeshawahi kupata isipokuwa Jeshi la Iran tu!!!
 
Hayo sasa ni maneno ya kujifariji na kujipa moyo baada ya kipigo cha siku 12 ambacho kilisababisha makamanda waandamizi wa jeshi dhaifu la Iran 30+ kuuwawa kijinga.

Kinachonichekesha sana mimi ni kuwa Iran amevunja rekodi ya kwanza duniani kwa Jeshi lake kupoteza makamanda wake waandamizi 30+ kwa siku moja akiwemo Mkuu wa Majeshi hii ni aibu ambayo hakuna jeshi duniani limeshawahi kupata isipokuwa Jeshi la Iran tu!!!
Yaani unamvizia mtu unampiga halafu unajisifia daaaah
 
Acha ujinga Israel ndiyo ilianza kuishambulia Iran kwa hiyo Iran hakupaswa kukubali kusimamisha vita maana ndiye aliyechokozwa!!

Iran alikubali kusimamisha vita kwa sababu Maji yalikuwa shingoni hakuna na namna bali kukubali tu.
Aliye anzisha vita ndio yeye ndiye alitakuwa otoe masharti ya kusimsmisha vita angesema sisimamishi vita mpaa Iran ainue bendera nyeupe akubali masharti yangu yote.

Vita zote mwenye nguvu ndiye anaye ombwa asimamishe Vita sio yule dhaifu.

Mfano Tanzania apigane na Kenya au Uganda na yeye ndiye kanzisha Vita kwa target ya kitu flani kule Kenya au Uganda hajafanikiwa na yeye ndiye aombe vita kusimama si kila mtu atamuona Tanzania ni mjinga.

Iran vipi akatae wakati Qatar alisema atampa pesa akikubali kusimamisha vita
 
Yaani unamvizia mtu unampiga halafu unajisifia daaaah
Hiyo ni vita mura!!! Hapo si sehemu ya kudanganyana kama mnavyofanya kwenye Madrasa!!! Kwa hiyo acha kutafuta visingizio uchwara!!!
 
Back
Top Bottom