Kwa hali ilivyo na hii issue ya Maembe kushika kasi kuna mawaziri wawili wanawezwa pumzishwa japo kwakuwa ni wazuri kama bashite mkuu anapata tabu but no way hali tete nakujisafisha nikuwaweka mapumziko.
Pia muhimili mwingine cheche zinawaka baada yakurushiana mpira na wateule kiukweli jamani let pray japo Rais ni Taasisi hivyo mh Rais ananamna ila kufanya maamuzi magumu.
Pia kuna yule jamaa naye bado hali tete uwenda asirudi ofisin japo atalia sana.
But tutake amatusitake haya maamuzi yanakuja kwa mkakati mzito.
Usije sikia Nnape kapewa uwaziri juwa kazi inaendelea usie mpenda kaja maisha yanaendelea.
Sorry wanaweza wakaongezwa
Rais ni wa wote jamen.
Pia muhimili mwingine cheche zinawaka baada yakurushiana mpira na wateule kiukweli jamani let pray japo Rais ni Taasisi hivyo mh Rais ananamna ila kufanya maamuzi magumu.
Pia kuna yule jamaa naye bado hali tete uwenda asirudi ofisin japo atalia sana.
But tutake amatusitake haya maamuzi yanakuja kwa mkakati mzito.
Usije sikia Nnape kapewa uwaziri juwa kazi inaendelea usie mpenda kaja maisha yanaendelea.
Sorry wanaweza wakaongezwa
Rais ni wa wote jamen.