Kuna utani unaweza kuvunja ndoa

Kuna utani unaweza kuvunja ndoa

Jana jioni nimemtembelea rafiki yangu mmoja. Huyu jamaa huwa haishi kulalama kuhusu tabia ya ulaji ya mkewe na kujiachia jambo linalofanya avimbiane kuliko kawaida. Sasa wakati tunapiga story, kulikuwa na ka-documentary fulani kwa Tv kanazungumzia maisha ya viboko (Wengi huwaita boko). Basi jamaa akamuita mkewe kama ana jambo fulani muhimu vile; "We mama H njoo mara moja". Wife kafika jamaa anamuonesha Tv eti "Si unawaona ndugu zako hao wanavyojiachia hapo." Sokomoko lililoanguka ilibidi niage, jamaa ananimbia hadi sasa ushwari haujarejea. Wife anadai jamaa akaoe hao vipotabo ye aondoke. Jamani busara zizingatiwe yanapokuja masuala ya mizaha haya.


suala la unene ni janga la taifa....
 
kama ujamalizia hapo..... asingemtania mbele yako badae labda ila na unakulaje mpaka uvimbe vimbe hovyo

Hayo mambo ya kuvimbiriana ni tatizo kwa ke wengi tu, when it comes to joke, busara na kutafuta namna ya kumtania mwenzio ni vyema ingezingatiwa tu due to the fact that MLEMAVU HATANIWI.

Apart from that nnakesi yako. tunasolve vipi sasa?
 
Last weekend kuna dem nilimuita trekta (bahati mbaya)... kamaind had leo haongei na mim
 
Hayo mambo ya kuvimbiriana ni tatizo kwa ke wengi tu, when it comes to joke, busara na kutafuta namna ya kumtania mwenzio ni vyema ingezingatiwa tu due to the fact that MLEMAVU HATANIWI.

Apart from that nnakesi yako. tunasolve vipi sasa?

sasa kwani siku ile hatukumaliza hakuna ulemavu kama unakula kama unaenda kuchinjwa ni shida ndiyo kufananishwa na kiboko
 
Huku ni kukosa maadili katika familia,haiwezekani kumfananisha mkeo ya aina yoyote ile ya mnyama na ni kitendo ambacho hakikubaliki katika jamii.Ukiona mtu kafikia hatua hiyo ni wa kukaa nae mbali kama hashauriki maana ipo siku atakuita hata wewe kwa kukulinganisha na mnyama fulani.
 
Jamaa hampendi mkewe mwambie huyo wife wa mshkaji apitie hapa atapata wanaothamini utu
 
Lakini aisee hawa mabonge wanatandika menyu! Usije kaa naye karibu utastaajabu tu!
Lkini kitandani ni wazuri wanavutia
hata katika nyumba lazima Mama awe amanenepa kuliko kukondeana km dagaa halafu awe na kelele ujue ni mpaka watoto wako watakimbilia jirani kudokoa chakula
Mke mpe heshima yake na kunenepa ni kuridhika hii Dunia ina mwisho usimkarahishe mwenzio
 
Lakini kuna wanawake wanapakia sana jamani khaaa? mtu unanunua chakula ndani cha mwezi, kinakaa wiki na nusu!! huyo ni mke au pipa? halafu anafutuka balaa na magonjwa ya moyo hayoo!!

Mkuu adi chakula unampimia mkeo,vp ukipata ugeni wa ukweni kwa miezi kadhaa?si utauliza lini anaondoka maana chakula kinaisha?
 


Huyo jamaa yako:
1. Ana ghubu
2. Hana adabu na hamweshimu mkewe
3. Atakuwa mchoyo wa chakula
4. Mnyanyasaji





Jana jioni nimemtembelea rafiki yangu mmoja. Huyu jamaa huwa haishi kulalama kuhusu tabia ya ulaji ya mkewe na kujiachia jambo linalofanya avimbiane kuliko kawaida. Sasa wakati tunapiga story, kulikuwa na ka-documentary fulani kwa Tv kanazungumzia maisha ya viboko (Wengi huwaita boko). Basi jamaa akamuita mkewe kama ana jambo fulani muhimu vile; "We mama H njoo mara moja". Wife kafika jamaa anamuonesha Tv eti "Si unawaona ndugu zako hao wanavyojiachia hapo." Sokomoko lililoanguka ilibidi niage, jamaa ananimbia hadi sasa ushwari haujarejea. Wife anadai jamaa akaoe hao vipotabo ye aondoke. Jamani busara zizingatiwe yanapokuja masuala ya mizaha haya.
 
Nakuunga mkono

Huyo mwanaume hajitambui kabisa na hana adabu



Mi nashauri Jando na Unyago virudishwe kama Jk alivyorudisha Jeshi baada ya F6. Wanandoa wengi hawajakua na hawana uelewa wowote juu ya ndoa na hata heshima kwa jamii. Yani ni weupe kabisa kichwani!!!
Mtu mwenye akili timamu anawezaje kushushia heshima mkewe kiasi hicho? Tena mbele ya mgeni!
Halafu huyo mkewe akijapata rafiki wa kiume anayemkubali alivyo na kumsifia akachepuka mtarudi hapa kutuomba ushauri. Kila mtu hustahili kuthaminiwa na kuheshimiwa...na mwanandoa ndiye mstari wa mwisho kwenye hayo mambo. Sasa mtu ulalala naye na kumhudumia kisha humthamini, akichepuka kwenda kutafuta usichompa utamlaumu nani?

 
yaani na me ningehakikisha namuaibisha balaa maneno gani hayo mbele ya watu alipaswa amwambie kwa upendo kuhusu kufanya diet na amsaidie afanye mazoezi. ingekuwa mie ningemwambia dia na we jitahidi basi ukaongeze hicho kibamia chako maana hakiniridhi kabisa aone uchungu wake

Ha ha ha ha
 
Back
Top Bottom