Jana jioni nimemtembelea rafiki yangu mmoja. Huyu jamaa huwa haishi kulalama kuhusu tabia ya ulaji ya mkewe na kujiachia jambo linalofanya avimbiane kuliko kawaida. Sasa wakati tunapiga story, kulikuwa na ka-documentary fulani kwa Tv kanazungumzia maisha ya viboko (Wengi huwaita boko). Basi jamaa akamuita mkewe kama ana jambo fulani muhimu vile; "We mama H njoo mara moja". Wife kafika jamaa anamuonesha Tv eti "Si unawaona ndugu zako hao wanavyojiachia hapo." Sokomoko lililoanguka ilibidi niage, jamaa ananimbia hadi sasa ushwari haujarejea. Wife anadai jamaa akaoe hao vipotabo ye aondoke. Jamani busara zizingatiwe yanapokuja masuala ya mizaha haya.
kama ujamalizia hapo..... asingemtania mbele yako badae labda ila na unakulaje mpaka uvimbe vimbe hovyo
Ha ha haaa kweli utani mwingine ni mbaya. Ndo amfananishe mkewe na kiboko?
Hayo mambo ya kuvimbiriana ni tatizo kwa ke wengi tu, when it comes to joke, busara na kutafuta namna ya kumtania mwenzio ni vyema ingezingatiwa tu due to the fact that MLEMAVU HATANIWI.
Apart from that nnakesi yako. tunasolve vipi sasa?
Last weekend kuna dem nilimuita trekta (bahati mbaya)... kamaind had leo haongei na mim
kama ujamalizia hapo..... asingemtania mbele yako? badae labda ila na unakulaje mpaka uvimbe vimbe hovyo......ha ha ha ha yani nimetafakari jamani huyu mnyama anashape mbaya ningejiua loh....... jamaa hakutenda haki kabisa
View attachment 197418View attachment 197420View attachment 197421
Jamaa hampendi mkewe mwambie huyo wife wa mshkaji apitie hapa atapata wanaothamini utu
Sio hampendi, kakosa hishma tu.
Ukimpenda mtu utamthamini na kumuheshimu pia
Lkini kitandani ni wazuri wanavutiaLakini aisee hawa mabonge wanatandika menyu! Usije kaa naye karibu utastaajabu tu!
Lakini kuna wanawake wanapakia sana jamani khaaa? mtu unanunua chakula ndani cha mwezi, kinakaa wiki na nusu!! huyo ni mke au pipa? halafu anafutuka balaa na magonjwa ya moyo hayoo!!
Jana jioni nimemtembelea rafiki yangu mmoja. Huyu jamaa huwa haishi kulalama kuhusu tabia ya ulaji ya mkewe na kujiachia jambo linalofanya avimbiane kuliko kawaida. Sasa wakati tunapiga story, kulikuwa na ka-documentary fulani kwa Tv kanazungumzia maisha ya viboko (Wengi huwaita boko). Basi jamaa akamuita mkewe kama ana jambo fulani muhimu vile; "We mama H njoo mara moja". Wife kafika jamaa anamuonesha Tv eti "Si unawaona ndugu zako hao wanavyojiachia hapo." Sokomoko lililoanguka ilibidi niage, jamaa ananimbia hadi sasa ushwari haujarejea. Wife anadai jamaa akaoe hao vipotabo ye aondoke. Jamani busara zizingatiwe yanapokuja masuala ya mizaha haya.
Mi nashauri Jando na Unyago virudishwe kama Jk alivyorudisha Jeshi baada ya F6. Wanandoa wengi hawajakua na hawana uelewa wowote juu ya ndoa na hata heshima kwa jamii. Yani ni weupe kabisa kichwani!!!
Mtu mwenye akili timamu anawezaje kushushia heshima mkewe kiasi hicho? Tena mbele ya mgeni!
Halafu huyo mkewe akijapata rafiki wa kiume anayemkubali alivyo na kumsifia akachepuka mtarudi hapa kutuomba ushauri. Kila mtu hustahili kuthaminiwa na kuheshimiwa...na mwanandoa ndiye mstari wa mwisho kwenye hayo mambo. Sasa mtu ulalala naye na kumhudumia kisha humthamini, akichepuka kwenda kutafuta usichompa utamlaumu nani?
Lakini kuna wanawake wanapakia sana jamani khaaa? mtu unanunua chakula ndani cha mwezi, kinakaa wiki na nusu!! huyo ni mke au pipa? halafu anafutuka balaa na magonjwa ya moyo hayoo!!
yaani na me ningehakikisha namuaibisha balaa maneno gani hayo mbele ya watu alipaswa amwambie kwa upendo kuhusu kufanya diet na amsaidie afanye mazoezi. ingekuwa mie ningemwambia dia na we jitahidi basi ukaongeze hicho kibamia chako maana hakiniridhi kabisa aone uchungu wake