MNYAMAKAZI
JF-Expert Member
- Oct 7, 2014
- 2,118
- 2,198
Jana jioni nimemtembelea rafiki yangu mmoja. Huyu jamaa huwa haishi kulalama kuhusu tabia ya ulaji ya mkewe na kujiachia jambo linalofanya avimbiane kuliko kawaida. Sasa wakati tunapiga story, kulikuwa na ka-documentary fulani kwa Tv kanazungumzia maisha ya viboko (Wengi huwaita boko).
Basi jamaa akamuita mkewe kama ana jambo fulani muhimu vile; "We mama H njoo mara moja".
Wife kafika jamaa anamuonesha Tv eti "Si unawaona ndugu zako hao wanavyojiachia hapo." Sokomoko lililoanguka ilibidi niage, jamaa ananimbia hadi sasa ushwari haujarejea. Wife anadai jamaa akaoe hao vipotabo ye aondoke.
Jamani busara zizingatiwe yanapokuja masuala ya mizaha haya.
Basi jamaa akamuita mkewe kama ana jambo fulani muhimu vile; "We mama H njoo mara moja".
Wife kafika jamaa anamuonesha Tv eti "Si unawaona ndugu zako hao wanavyojiachia hapo." Sokomoko lililoanguka ilibidi niage, jamaa ananimbia hadi sasa ushwari haujarejea. Wife anadai jamaa akaoe hao vipotabo ye aondoke.
Jamani busara zizingatiwe yanapokuja masuala ya mizaha haya.