umemaliza mjadala closed.HAKUNA URAFIKI KATI YA SIMBA NA SWALA. PERIOD!
Hahaha Ok Chief nimekupata,Ahsante..HAKUNA URAFIKI KATI YA SIMBA NA SWALA. PERIOD!
Shukrani MkuuWatakuja Kiongozi Ila urafiki wa Jinsia Mbili haimezeki
Nyege hazina Heshima wala ulokole! Nasisitiza tena Hakuna urafiki kati ya Simba na Swala, watamezeana mate tu.Hahaha Ok Chief nimekupata,Ahsante..
Lakini ipo dhana unakutana na binti mwenye heshima zake lakini ana marafiki wengi sana wa kiume hii imekaaje?..tena wengine walokole
LABDA PENGINE ANAONA KAMPANI YA KIKE SIO RAFIKI KWAKEHahaha Ok Chief nimekupata,Ahsante..
Lakini ipo dhana unakutana na binti mwenye heshima zake lakini ana marafiki wengi sana wa kiume hii imekaaje?..tena wengine walokole
Bado Boss...umemaliza mjadala closed.

Kuna Radio moja huku nilipo nilikuwa naisikiliza nikayasikia hayo maneno mpaka nikashtuka..how?..hata kipindi hicho nikiwa masomoni kuna mchungaji mmoja alikuwa anatoa ushauri + nasaha akadokezea hili jambo nikashangaa sana inakuwaje?Dini ipi hiyo inashauri hayo kua vijana wawe na rafiki wa kike na rafiki wa kiume? Braza stadi za maisha hizo umesomea wapi ?
Hahhaa sawa ChiefNyege hazina Heshima wala ulokole! Nasisitiza tena Hakuna urafiki kati ya Simba na Swala, watamezeana mate tu.
Ok..kwa hiyo matamanio hayatakuwepo?LABDA PENGINE ANAONA KAMPANI YA KIKE SIO RAFIKI KWAKE
YAPO MZEE, WALE NI BINADAMUOk..kwa hiyo matamanio hayatakuwepo?
Shukrani sana Mkuu,umeelezea vizuri.Ni lini hasi na Chanya zikigusana isitokee shoti??
Chanya na hasi zikikutana lazima cheche zilupuke!!!

ok Chief umeelewekaOk mkuu,Nimekupata vizuriYAPO MZEE, WALE NI BINADAMU
Kwa sheria ya kiislamu hiyo hairuhusiwi nadhani hata kwa mafundisho ya kikristo pia hairuhusiwi kama wapo wajuzi watufahamishe.Shukrani sana Mkuu,umeelezea vizuri.
Kuna wengine huwa wanadai ni mume/me mtarajiwa huku wakiongozana...hawa tuwaweke kundi lipi?..au cha muhimu ni USALAMA?