kuna upendo hapo??

kuna upendo hapo??

roney1

Member
Joined
Jan 19, 2013
Posts
66
Reaction score
11
Nina boyfriend wangu ambaye ni miezi 3 hivi tangu tuanze mahusiano ninampenda kweli lakini siku hizi amebadilika tuna kama wiki sasa hatuwasiliani vizuri, nikimtumia sms hajibu, nikimpigia hapokei baadae anatoa excuse za ajabu eti alikuwa mbali, hii imejirudia kwa wiki nzima nashindwa kujua kama anafanya hivyo ili nikate tamaa nimuache au hanihitaji ila anashindwa kuniambia,nachanganyikiwa nampenda kwa dhati naombeni ushauri wenu wana jamvi
 
miezi 3 inatosha kuwa kwa 'dhati'?

Mapenzi ya siku hizi ni kama big G tu, unatafuna, utamu ukiisha unatema.
 
Huyo keshajua wampenda sanaa na kumshobokea ndo maana anakufanyia kusudi aone utamtetemekeaje!!!!!!!

Dawa safari akichuna na wewe chuna!!!!!! Tena mchuno mrefu! Halafu hata akianza kukutafuta we endeleza mchuno kama wiki hivi! Afu mpe visababu vya ajabu ajabu kama vyake!

Hii Migumegume ya siku hizi ukijifanya unaipenda sanaaaa na kuijali mbona itakupasua kichwaaa!:shut-mouth:
 
Hii ndio hatua ngumu zaidi, ukiona hivyo ujue anatafuta kukuwekea ''terms and conditions''

Nadhani utakuwa umemthibitishia upendo wa hali ya juu sana ndio maana amepata kiburi. So hapo ukitaka kurejeza kama zamani na wewe anza kumpotezea potezea laa sivyo utakuwa mateka wake hadi utakapozinduka. ukiona hajarudisha majeshi vyema jua hapo ndio anafanya final touches.

Moyo wakati mwingine huelekea unakoona hakuna interest sana kuliko kule kunakoonesha interest kubwa. (eg. mnapendana 50:50 right, mmoja akakolea akenda 80, its mostly likely mwenzio akashuka to say 20 bila yeye kujua 80/20 rule) na kumbuka ''he who love the most suffers the most, who loves the least controls the other''
 
huyo kashakupiga kibuti, ni kwamba hawezi kukwambia direct
 
Kama ameonja!Basi ujue hajaridhika na mali, so hataki kukupotezea muda! Chukua time yako! Sasa wataka akuambie nini na dalili waziona
 
Akufukiuzae hakuambii toka, labda kama unasubiri uachwe kwa matarumbeta na ngoma
 
Huyo keshajua wampenda sanaa na kumshobokea ndo maana anakufanyia kusudi aone utamtetemekeaje!!!!!!!

Dawa safari akichuna na wewe chuna!!!!!! Tena mchuno mrefu! Halafu hata akianza kukutafuta we endeleza mchuno kama wiki hivi! Afu mpe visababu vya ajabu ajabu kama vyake!

Hii Migumegume ya siku hizi ukijifanya unaipenda sanaaaa na kuijali mbona itakupasua kichwaaa!:shut-mouth:

Ama kweli [URL="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=88225"] [URL="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=88225"]lara 1[/URL][/URL] ni noumer,
yani ndo unaanza kusambaratisha uhusiano ya mwenzako.
 
Sikiliza ushauri wa lara1.


Nina boyfriend wangu ambaye ni miezi 3 hivi tangu tuanze mahusiano ninampenda kweli lakini siku hizi amebadilika tuna kama wiki sasa hatuwasiliani vizuri, nikimtumia sms hajibu, nikimpigia hapokei baadae anatoa excuse za ajabu eti alikuwa mbali, hii imejirudia kwa wiki nzima nashindwa kujua kama anafanya hivyo ili nikate tamaa nimuache au hanihitaji ila anashindwa kuniambia,nachanganyikiwa nampenda kwa dhati naombeni ushauri wenu wana jamvi
 
Huyo hana mpango na wewe alikua anataka tu akuchezee halafu mwishowe akuache, si unawajua wanaume wasiku hizi ni FULL MATATIZO?

Kama vipi badilisha upepo inaelekea upepo huo sio mzuri.
 
Nina boyfriend wangu ambaye ni miezi 3 hivi tangu tuanze mahusiano ninampenda kweli lakini siku hizi amebadilika tuna kama wiki sasa hatuwasiliani vizuri, nikimtumia sms hajibu, nikimpigia hapokei baadae anatoa excuse za ajabu eti alikuwa mbali, hii imejirudia kwa wiki nzima nashindwa kujua kama anafanya hivyo ili nikate tamaa nimuache au hanihitaji ila anashindwa kuniambia,nachanganyikiwa nampenda kwa dhati naombeni ushauri wenu wana jamvi

mhm huyo atakuwa anatafuta njia ya kusepa...swali la msingi, kashakugegeda?
 
Hivi mahusiano ya miezi 3 yanaweza kuwa ya dhati?
Hivi kutokuwa na mawasiliano ya mara kwa mara ndani ya wiki 1 tu ndio dalili ya kutopendwa tena?
 
hakupendi huyo ,temana nae
kwanini mtu achezee kichwa chako,?
 
love takes time to heal.....maria carey......mi napita!!!
 
Kasome kuhusu ,mapenzi ni nini? wisemessages.blogspot.com
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom