Kuna umuhimu wowote wa kuupdate window ?

Kuna umuhimu wowote wa kuupdate window ?

g vizy

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2016
Posts
933
Reaction score
1,034
wadau habar zenu?

mimi ninachouliza kama kuna umuhimu wowote wa kuupdate window maana wanasema update inasaidia kupata new features lakini ukiachilia mbali hilo pia
wanasema ni kuprevent computer against malwares and viruses

sasa inakuwaje endapo nina antivirus nimemuistall anayezuia viruses huyo awezi kutosha mpaka niaupdate window

ebu naombeni mnifafanulie vizuri wadau

natanguliza shukrani
 
Kwa wazungu update ni muhimu ila sio kwa watanzania

Unapo update unapata new security features so unakua salama zaidi pia windows inakua more stable,
Ila kwa sisi wazee wa kushusha window kila miez mingapi hili halina umuhimu
 
Kwa wazungu update ni muhimu ila sio kwa watanzania

Unapo update unapata new security features so unakua salama zaidi pia windows inakua more stable,
Ila kwa sisi wazee wa kushusha window kila miez mingapi hili halina umuhimu
vipi kuhusu antivirus uliyemuinstall anakuwa na uhusiano gani na windows updates
 
vipi kuhusu antivirus uliyemuinstall anakuwa na uhusiano gani na windows updates
Antivirus ukimuweka kwenye pc ndio anaoewa jukumu la kulinda pc yako, so laxima awe update, kumbuka kila siku wahuni wanaunda code mpya za virus
 
Antivirus ukimuweka kwenye pc ndio anaoewa jukumu la kulinda pc yako, so laxima awe update, kumbuka kila siku wahuni wanaunda code mpya za virus
ujue mimi natumia window 7 ambayo ni genuine ila window hii wakati nmeiingiza iliniambia kabisa haitopokea updates ispokuwa important updates peke yake

kuna kipindi nikachomeka memory card antivirus iliwakamata lakini baadae wakafanikiwa kupenya wakala files zangu sasa nkajiuliza ni kwa sababu ya antivirus ajawa updated au ni window haijawa updated nkashindwa kuelewa
 
wadau habar zenu?

mimi ninachouliza kama kuna umuhimu wowote wa kuupdate window maana wanasema update inasaidia kupata new features lakini ukiachilia mbali hilo pia
wanasema ni kuprevent computer against malwares and viruses

sasa inakuwaje endapo nina antivirus nimemuistall anayezuia viruses huyo awezi kutosha mpaka niaupdate window

ebu naombeni mnifafanulie vizuri wadau

natanguliza shukrani
Microsoft ametoa Windows 10 Enterprise LTSB ambayo ni maalum kwa wasiotaka kupokea features updates za mara kwa mara. Hii itakufaa usiyetaka updates.
 
Updates muhimu sana.

1) Antivirus: husaidia kwa internet security plus protects against viruses, trojans, adware, malware, etc etc

2) Windows Operating System: kuna updates aina tofauti... From critical system updates n drivers for the computer architecture to regular updates that you can ignore at will. Hapa, kuna mambo kama System & office suite upgrade, firewall, *graphics + audio + Wi-Fi drivers* etc etc, windows defender, Microsoft Security Essentials na kadhalika.

If you have access to the internet, usichelewe. Update as frequently as you can. Better safe than sorry.

Si lazma you update:

ikiwa hauchezi games kama FIFA,
ikiwa hautumii "heavy applications" za computer aided design,
hautumii external hard drives ambazo haujui kama zina virus...
 
ni muhimu sana kuliko unavyodhani kiongoz, ila kwa huku bongo hatuko smart..

antvirus na window os ni vitu viwili tofaout, tho it a computer program running in window

ku-update window sio tu kwa ajili ya security na kuongeza features kama unavyosema, ina-provides a stable, consistent way for applications to deal with the hardware without having to know all the details of the hardware, others ar like to....
  • improves Managing between the hardware's resources which include the processors, memory, data storage and I/O devices.
  • improves Handling "interrupts" generated by the I/O controllers.
  • improvements of sharing of I/O between many programs using the CPU
  • improves the user interactions btn users and hardware (user interfaces)
  • and so many like security and perfomance optimasation ambazo zinafanana kidogo na hzo juu
ila about reguraly updates of antivirus, it is very important becouse it make ur computer safely (especialyy ur documents) against the new emerging threats thats made every day
 
Back
Top Bottom