kama serikali kila tatizo (mikutano na maandamano ya CHADEMA, wamachinga etc) lita suluhisha kwa kutumia polisi (FFU etc), kuna umuhimu gani wa mahakama?
kwa nini kama kweli wanakiuka utaratibu wasiwafungulie kesi washitakiwe kwa FINE au KIFUNGO cha jela?