Kuna ulazima kufanya somo la General Study kwenye ACSEE?

Kuna ulazima kufanya somo la General Study kwenye ACSEE?

MNEKI

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2014
Posts
992
Reaction score
1,310
Shalom shalom wakuu!

Natarajia kufanya mtihani kidato Cha SITA kama Mtahiniwa wa kujitegemea.

Sasa kuna hili somo la General study. Je, Kuna madhara nisipolifanyia mtihani? Angalau nipunguze mzigo.

Naona hata entry requirements za vyuo vikuu halina madhara..

Lakini huku kwenye ACSEE ni la lazima, sielewi ulazima wake ni wa nini hasa kwa Private candidate.
 
Shalom shalom wakuu !!

Natarajia kufanya mtihani kidato Cha SITA kama Mtahiniwa WA kujitegemea.

Sasa Kuna hili somo la General study,,, Je, Kuna madhara nisipolifanyia mtihani?
Angalau nipunguze mzigo.

Naona hata entry requirements za vyuo vikuu halina madhara..

Lakini Huku Kwenye ACSEE ni la lazima,, sielewi ulazima wake ni WA nini hasa kwa Private candidate.
Yaani unauza utumbo halafu unaogopa nzi?
 
ikiwa unakiburi au ni mvivu usifanye kabisa hata mtihani na pia achana kabisha na issue za shule.mkuu.
As ukisoma.. maeneo yote utakayotumia vyeti vyako hawatahitaji mtu mvivu au anaehoji mambo kama wewe.

Wakisema mbele tembea.. mbele tembea.
Sio unaanza kuhoji kwanini nitembee kuna gari au pia ningeweza kutambaa.
 
Siyo lazima kufanya somo hilo kwa mwanafunzi anayerudia mtihani wa kidato cha sita. Pia, unaweza hata kufanya masomo mawili tu na inakubalika. Ukikwama, unaweza kuwasiliana na Mwalimu Makoba kwa namba: 0653 250 566.
 
Hilo somo liheshimu sana....lilinichafulia cheti changu....lahovyo sana Hilo...siwezi lisahau yaani
 
Hili ndio somo linalotofautisha elimu na uelewa. Bila hilo somo huwezi kutofautisha mhitimu na msomi wakiwekwa pamoja.
 
Back
Top Bottom