Unatafuta BAN hahahhahahaUnamchokoza nifah
Nyani Ngabu ndiye apewe Ban kwa kuzileta picha zake (za kabla na sasa)Unatafuta BAN hahahhahaha
Hivi hizo picha zimefutwa au bado zipo maana nimekuta tu watu wana BAN nikasikia kisa ndio hicho! hahahahahah. JF bwanaNyani Ngabu ndiye apewe Ban kwa kuzileta picha zake (za kabla na sasa)
Juu ya nini mwanawane?Hivi hizo picha zimefutwa au bado zipo maana nimekuta tu watu wana BAN nikasikia kisa ndio hicho! hahahahahah. JF bwana
Picha za akina NIFAH, ONTORIO na wengineo za halisi na maisha yao na mengine mengi kuhusu mambo yao maugomvi ya FOREX na mengine mengi hadi akina Nyani Ngabu wamepigwa BANJuu ya nini mwanawane?
Naona BANNED kwa avatar yake.Nyani Ngabu ndiye apewe Ban kwa kuzileta picha zake (za kabla na sasa)
Labda tuwaulize wenyewe.
Maajabu kweli ila hapa JF watu tunajipraudi sana wakati tupo makasembele tu.Hivi hizo picha zimefutwa au bado zipo maana nimekuta tu watu wana BAN nikasikia kisa ndio hicho! hahahahahah. JF bwana
hizo picha ndio hazipatikani tena?Picha za akina NIFAH, ONTORIO na wengineo za halisi na maisha yao na mengine mengi kuhusu mambo yao maugomvi ya FOREX na mengine mengi hadi akina Nyani Ngabu wamepigwa BAN
zimefutiliwa mbali na mods!!!!hizo picha ndio hazipatikani tena?