Imeanza kupitwa na wakati nadharia hiyo, makabila ambayo mfano ulikuwa ukitaka kuoa lazima watu wakushangae kidogo ilikuwa ni Wahaya, Wazaramo n.k lakini siyo kweli siku hizi watu wanaoana popote pale na kabila lolote bora tu tabia zao zinaendana na wanasikilizana.