love more than100
JF-Expert Member
- Jan 27, 2014
- 2,061
- 715
kwani anae vaa mguu bandia anakua anamguu asilia kama hao wanaovaa hizo nywele? au unakua umevunjika? we mungu kakuumba mu_afrika unataka kuonekana kama mzungu, kama sio kuukosoa uumbaji wa mungu ni nini?
So kama umeumbwa kilema miguu na ya bandia ipo ili uweze kujisaidia au will chair inamaana usitumie coz utamkosoa Mungu?