Kuna ukwel wowote juu ya hili?

Kuna ukwel wowote juu ya hili?

Christinah

Senior Member
Joined
Nov 13, 2014
Posts
100
Reaction score
17
Nimeiona huko IG,ila nashindwa kuamini ndo maana nikaona niilete huku,je Ni kweli au Ni maneno tu?
Mawazo yenu tafadhali.
 

Attachments

  • 1435087148823.jpg
    1435087148823.jpg
    18.5 KB · Views: 1,791
Huo utakuwa ni ulimwengu wa kihoro na chanzo chake kikuu ni ukosefu wa njulugu!!
 
Hayo ni ya ulimwengu wa roho..lakini ulimwengu huu tunaoishi hakuna hayo mambo.
 
ni dhana potofu, vipi wanaovaa miguu bandia na meno bandia

Kwani anae vaa mguu bandia anakua anamguu asilia kama hao wanaovaa hizo nywele? au unakua umevunjika? we mungu kakuumba mu_afrika unataka kuonekana kama mzungu, kama sio kuukosoa uumbaji wa mungu ni nini?
 
Mwingira na wakatare na kakobe. wale sina sikia wana macho ya kiroho wale sasa ndo watakua wanaona ivi sasa sipati picha apo kanisani kwao kunavyo kua. wachungaji wa kiroho. wana macho ya kiroho pia. kwaiyo wanaonaga ivi......
au ni promo at work.
 
na alwezaje kupata hyo picha na kuiek hum

katka huo ulimwengu wa roho

na alwezaje kupata hyo picha

katka huo ulimwengu wa roho
 
kwani anae vaa mguu bandia anakua anamguu asilia kama hao wanaovaa hizo nywele? au unakua umevunjika? we mungu kakuumba mu_afrika unataka kuonekana kama mzungu, kama sio kuukosoa uumbaji wa mungu ni nini?

Kwani uliambiwa kila wigi ni la kizungu, mbona yako mengi ya kiafrika na yanavaliwa na waafrika
 
MFANO  MIGIRO HUVAA MAWIGI YENYE NYWELE ZA KIAFRIKA
 
Back
Top Bottom