toplemon JF-Expert Member Mar 26, 2017 4,581 4,632 Jul 26, 2020 #1 Mimi nashangaa kwamba kila tamthilia au movie ni lazima wawepo Yaani ni pete na kidole Nashindwa kujua ni kwanini kila tamthilia wawepo au ndo masharti ya waganga wa huko ufilipino Mfano huyu hapo yupo kwenye tamthilia ya Asintado yaani kila tamthilia ya Kifilipino lazima shoga awepo!ni kwanini?
Mimi nashangaa kwamba kila tamthilia au movie ni lazima wawepo Yaani ni pete na kidole Nashindwa kujua ni kwanini kila tamthilia wawepo au ndo masharti ya waganga wa huko ufilipino Mfano huyu hapo yupo kwenye tamthilia ya Asintado yaani kila tamthilia ya Kifilipino lazima shoga awepo!ni kwanini?
GIRITA JF-Expert Member Jul 4, 2016 4,135 5,249 Jul 26, 2020 #2 Ni masoga kweli au wanaigiza? Kama wanaigiza ni usodoma tu ndio wanautangaza ili vizazi vitoboke....kama huku bongo ndio watoto wataathirika kwa kuiga maana hizo tamthilia zao kila nyumba wanaangalia shenzi sana hawa wafilipi.
Ni masoga kweli au wanaigiza? Kama wanaigiza ni usodoma tu ndio wanautangaza ili vizazi vitoboke....kama huku bongo ndio watoto wataathirika kwa kuiga maana hizo tamthilia zao kila nyumba wanaangalia shenzi sana hawa wafilipi.
dyuteromaikota JF-Expert Member Apr 30, 2013 5,907 8,247 Jul 26, 2020 #3 Siku hizi kila sehemu aisee, si tamthilia, movie, series nk kote huko lazima uone scene ya ushoga. Wazungu/weupe nyoko sana siku hizi
Siku hizi kila sehemu aisee, si tamthilia, movie, series nk kote huko lazima uone scene ya ushoga. Wazungu/weupe nyoko sana siku hizi
toplemon JF-Expert Member Mar 26, 2017 4,581 4,632 Jul 26, 2020 Thread starter #4 Lengo ni kuwafanya watu waone ni jambo la kawaida dyuteromaikota said: Siku hizi kila sehemu aisee, si tamthilia, movie, series nk kote huko lazima uone scene ya ushoga. Wazungu/weupe nyoko sana siku hizi Click to expand...
Lengo ni kuwafanya watu waone ni jambo la kawaida dyuteromaikota said: Siku hizi kila sehemu aisee, si tamthilia, movie, series nk kote huko lazima uone scene ya ushoga. Wazungu/weupe nyoko sana siku hizi Click to expand...