toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,628
Mimi nashangaa kwamba kila tamthilia au movie ni lazima wawepo
Yaani ni pete na kidole
Nashindwa kujua ni kwanini kila tamthilia wawepo au ndo masharti ya waganga wa huko ufilipino
Mfano huyu hapo yupo kwenye tamthilia ya Asintado yaani kila tamthilia ya Kifilipino lazima shoga awepo!ni kwanini?
Yaani ni pete na kidole
Nashindwa kujua ni kwanini kila tamthilia wawepo au ndo masharti ya waganga wa huko ufilipino
Mfano huyu hapo yupo kwenye tamthilia ya Asintado yaani kila tamthilia ya Kifilipino lazima shoga awepo!ni kwanini?