Kuna uhusiano gani kati ya tamthilia za Kifilipino na mashoga?

toplemon

JF-Expert Member
Mar 26, 2017
4,581
4,628
Mimi nashangaa kwamba kila tamthilia au movie ni lazima wawepo

Yaani ni pete na kidole

Nashindwa kujua ni kwanini kila tamthilia wawepo au ndo masharti ya waganga wa huko ufilipino

Mfano huyu hapo yupo kwenye tamthilia ya Asintado yaani kila tamthilia ya Kifilipino lazima shoga awepo!ni kwanini?

Screenshot_20200726-111730_1595751475743.jpeg
Screenshot_20200726-111416_1595751410077.jpeg
FB_IMG_15957513598247481.jpeg
FB_IMG_15957513499292028.jpeg
FB_IMG_15957513322163034.jpeg
FB_IMG_15957513177092385.jpeg
 
Ni masoga kweli au wanaigiza?
Kama wanaigiza ni usodoma tu ndio wanautangaza ili vizazi vitoboke....kama huku bongo ndio watoto wataathirika kwa kuiga maana hizo tamthilia zao kila nyumba wanaangalia shenzi sana hawa wafilipi.
 
Back
Top Bottom