Enock gabriel
JF-Expert Member
- Apr 26, 2021
- 348
- 312
Jamani tumeshuhudia Ulaya na nchi za Asia kama India, China n.k, kukiwa na ubaguzi wa kutisha wa rangi.
Je, kwa hapa Tanzania kuna Makabila yanabagua Makabila mengine na kuona wao ni superior wa Taifa?
Bora kwa Taifa kuliko makabila mengine, kiakili n.k?
Je, kwa hapa Tanzania kuna Makabila yanabagua Makabila mengine na kuona wao ni superior wa Taifa?
Bora kwa Taifa kuliko makabila mengine, kiakili n.k?