Kuna tofauti Kati ya Nchi na Serikali ?

Kuna tofauti Kati ya Nchi na Serikali ?

Lukaku Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2017
Posts
843
Reaction score
740
Hbr ndg zangu wanajamiiforums wenzangu
Leo nmeona tuuchambue hata kdogo Uzi Kama huu
Kama lilivo swali kuna tofauti kati ya nchi na serikali? Hivi mtu anaweza kusema anaipenda serikali halafu akawa hapendi nchi hyo?
Mtu anaweza kuwa anaipenda nchi lakini akawa hapendi serikali? Pengne tunaweza kuwa tunalalamika tu kwamba hatuna wawekezaji au tourists kisa tu watu kuna ktu wanakipenda ila kingne hawapendi ...
Naombeni michango yenu kwa kina ktk hili ili tupate tofauti za kutosha maana naweza kuwa nalaum kuwa spendi nchi mfano yangu kumbe sababu tu ni sirikali tu.....

A:Napenda nchi yangu
B:Napenda serikali yangu au serikali na nchi havitengani? Kwamba uksema napenda nchi yangu automatically umeipenda na serikali?
Karibuni nyote kwa michango yenu
 
Hbr ndg zangu wanajamiiforums wenzangu
Leo nmeona tuuchambue hata kdogo Uzi Kama huu
Kama lilivo swali kuna tofauti kati ya nchi na serikali? Hivi mtu anaweza kusema anaipenda serikali halafu akawa hapendi nchi hyo?
Mtu anaweza kuwa anaipenda nchi lakini akawa hapendi serikali? Pengne tunaweza kuwa tunalalamika tu kwamba hatuna wawekezaji au tourists kisa tu watu kuna ktu wanakipenda ila kingne hawapendi ...
Naombeni michango yenu kwa kina ktk hili ili tupate tofauti za kutosha maana naweza kuwa nalaum kuwa spendi nchi mfano yangu kumbe sababu tu ni sirikali tu.....

A:Napenda nchi yangu
B:Napenda serikali yangu au serikali na nchi havitengani? Kwamba uksema napenda nchi yangu automatically umeipenda na serikali?
Karibuni nyote kwa michango yenu
Serikali iko ndani ya nchi na inaundwa na baadhi watu wa nchi.
Nchi ni kuanzia Ardhi (mipaka)pamoja na watu wake.
Sasa hayo ya kuchukia na kupenda yaweke kwenye mstakabali wa huo ufafanuzi.
 
Kwa hiyo Auz haviwezi kutengana? Bado ufafanuz wako sijakupata vzr najlazmisha Sana kukuelewa lkn hpn tu
 
Ndiyo kuna tofauti: nchi ni ardhi na rasilimali zake kwa ujumla ndani ya mipaka inayokubaliwa kimataifa na serikali ni kikundi fulani cha watu ndani ya nchi kilichopewa jukumu la kuongoza wananchi na kusimamia rasilimali za ardhi husika kwa mujibu wa makubaliano ya wananchi (Katiba)!
 
Nchi ni eneo la kijiografia lenye mipaka inayotambulika kimataifa, na serikali ni taasisi halali inayoingoza nchi husika iliyowekwa kihalali na wananchi kwa mujibu wa katiba yao, au iliyopo kwa mabavu au vinginevyo kwa lengo la kusimamia/kutumia/kunyonya rasilimali za nchi husika.
 
Kuna serikali ya awamu ya kwanza,ya pili ,ya tatu, nne, tano, sita,saba ,n.k.
Lakini nchi ni ile ile tangu Mkoloni.
Nchi kila mtu anaipenda lakini serikali inapendwa na wale Wanaoiunda au wanaonufaishwa na serikali hiyo.
 
Back
Top Bottom