kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,066
- 1,535
Ndugu wanaJF,
nilifuatilia habari ya spika Wa bunge kumkatalia tundu lissu kujadili hatima ya mabomu ya gongo la mboto kwenye magazeti na kugundua kuwa haikupata respective coverage...
hapo nikawa na wasiwasi kuna namna ya mkono mrefu kuweza kutumika kushun information ambazo zinaweza kuturnish image za wakubwa..
imekaaje hii?
nilifuatilia habari ya spika Wa bunge kumkatalia tundu lissu kujadili hatima ya mabomu ya gongo la mboto kwenye magazeti na kugundua kuwa haikupata respective coverage...
hapo nikawa na wasiwasi kuna namna ya mkono mrefu kuweza kutumika kushun information ambazo zinaweza kuturnish image za wakubwa..
imekaaje hii?