Kuna tatizo kati ya CCM na Maghufuli.

Kuna tatizo kati ya CCM na Maghufuli.

bendaki

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
952
Reaction score
346
Kila ni kiangalia mabango ya mgombea urais kupitia CCM nina kuta ni Chagua Maghufuli na hakuna chagua CCM.
Najiuliza kwa nini wanajaribu kujiweka mbali na chama? Kuna nini ambacho wanakikwepa na itakuwa hivyo mpaka lini?
 
Serikali ya Magufuli itafanya hivi.......

Serikali ya Magufuli itafanya vile.......

Serikali ya magulfuli itakuwa hivi......

Serikali ya Magufuli itakuwa vile.......

Nawaza tu lakini.....maana mwalimu wangu wa Siasa aliniambia Serikali/Uraisi ni "Taasisi"
 
wanaogopa wakisema ccm wataulizwa mbona hawakufanya siku zote. na hapa ndipo tunapowashauri upinzani wapakamate haswa maana ccm wanajua chama chao hakipendwi!
 
Katika siasa za sasa ccm yenyewe haina soko (haiuziki) ndo maana wanatumia mgongo wa magufur
 
Serikali ya Magufuli itafanya hivi.......

Serikali ya Magufuli itafanya vile.......

Serikali ya magulfuli itakuwa hivi......

Serikali ya Magufuli itakuwa vile.......

Nawaza tu lakini.....maana mwalimu wangu wa Siasa aliniambia Serikali/Uraisi ni "Taasisi"

Kuna chama kipya kinaitwa Magufuli .....tulizoea kusikia ..Mkituchagua ..Sasa ni Mkinichagua ...

Serikali ya ccm ..itafanya ..Sasa Serikali ya Magufuli itafanya ..!!!!!

Pia ashatangaza kuwa Mwakani ataondoa watendaji wote kwenye chama na kuweka wapya ....watendaji wa CCM hawa na uhakika wa ajira kuwa kuwa anasema wanamsaliti
 
Kila ni kiangalia mabango ya mgombea urais kupitia CCM nina kuta ni Chagua Maghufuli na hakuna chagua CCM.
Najiuliza kwa nini wanajaribu kujiweka mbali na chama? Kuna nini ambacho wanakikwepa na itakuwa hivyo mpaka lini?


Mabango yanatangaza rais wa Tanzania wa awamu ya tano ambaye ni Dr, Magufuli a.k.a Mzee wa miiba. CCM ipo tangu zamani na inajitangaza yenyewe. Wewe unataka rais au CCM!
 
Kila ni kiangalia mabango ya mgombea urais kupitia CCM nina kuta ni Chagua Maghufuli na hakuna chagua CCM.
Najiuliza kwa nini wanajaribu kujiweka mbali na chama? Kuna nini ambacho wanakikwepa na itakuwa hivyo mpaka lini?
Ina maana ya CHAGUA MTU, USICHAGUE CHAMA. Wasi wasi wangu ni kwamba Magufuli anaweza kuchaguliwa yeye halafu madiwani na Wabunge wakatoka vyama vingine, atatoa wapi mawaziri ?
 
Watu watakosea kumchagua Magufuli,Ilhali ni CCM haohao.Na ikitokea CCM wakaingia madarakani,wamuache afanye anayotaka maana mpaka sasa wamemuacha tu na hizo tambo zake za "Serikali ya Magufuli....."
 
serikali iliyopo madarakani ni serikali ya ccm! Magufuli hapigii debe ccm kupewa ridhaa ya kuunda serikali kwa wananchi, Bali anapigia debe kupewa ridhaa ya kuunda serikali ya Magufuli!
Kwenye Mikutano Magufuli anasema mafisadi ndio waliotufikisha hapa! Lakini serikali iliyoko madarakani ya ccm ndio iliyotufikisha hapa. Kwa hiyo kwa mujibu wa magufuli haikwepeki kumwona akiwatuhumu ccm kwa ufisadi ndio maana mabango yake hayana neno ccm!
Hata wagombea wengi wa ubungr wanaweka nembo ya ccm kwa maandishi madogo yasiyosomeka kwa mbali! Kwa hiyo hata wagombea wengine wanainyanyapaa ccm!
Labda tusubiri katibu mwenezi wa ccm atalitolea ufafanuzi.
 
wanaogopa wakisema ccm wataulizwa mbona hawakufanya siku zote. na hapa ndipo tunapowashauri upinzani wapakamate haswa maana ccm wanajua chama chao hakipendwi!

Mwaka huu tumekamatwa pabaya coz hata Ukawa makamanda wanamkwepa Lowassa kwa sababu walikuwa wanamtukana Fisadi kwenye jukwaa zao.
Sasa ni ngumu kumeza inabidi tu wafanye kumtelekeza na Sumaye na Masha
 
magufuli ni dreva makini anaendesha gari bovu.

Kwa maoni yangu..ni heri dereva makini anayeendesha gari bovu kuliko dereva bomu anayeendesha gari imara.
Ni rahisi sana kwa dereva bomu kupiga chini gari na kuua kila aliyemo
 
Serikali ya Magufuli itafanya hivi.......

Serikali ya Magufuli itafanya vile.......

Serikali ya magulfuli itakuwa hivi......

Serikali ya Magufuli itakuwa vile.......

Nawaza tu lakini.....maana mwalimu wangu wa Siasa aliniambia Serikali/Uraisi ni "Taasisi"

Tehe tehe eeee, kumbe sio tena serikali ya CCM, Magufuli mgombea binafsi
 
serikali iliyopo madarakani ni serikali ya ccm! Magufuli hapigii debe ccm kupewa ridhaa ya kuunda serikali kwa wananchi, Bali anapigia debe kupewa ridhaa ya kuunda serikali ya Magufuli!
Kwenye Mikutano Magufuli anasema mafisadi ndio waliotufikisha hapa! Lakini serikali iliyoko madarakani ya ccm ndio iliyotufikisha hapa. Kwa hiyo kwa mujibu wa magufuli haikwepeki kumwona akiwatuhumu ccm kwa ufisadi ndio maana mabango yake hayana neno ccm!
Hata wagombea wengi wa ubungr wanaweka nembo ya ccm kwa maandishi madogo yasiyosomeka kwa mbali! Kwa hiyo hata wagombea wengine wanainyanyapaa ccm!
Labda tusubiri katibu mwenezi wa ccm atalitolea ufafanuzi.

Tatizo anadhani akisema mafisadi Watu watafikiria Lowassa, wakati Lowassa yuko nje ya system ya mafisadi miaka kibao na nchi inatafunwa tu
 
Back
Top Bottom