Kibaha pamezidi, Kuna foleni hata Sasa hivi lkn wakifika watatoka wote halafu watarudi saa nne, saa sita wanatoka wote mpaka saa nane. Bosi yupo, mkuu wa wilaya yupo, mkuu wa mkoa yupo.
Sisi hatutaki hivyo vitambulisho, watupe namba tu. Vitambulisho watakwangulia vocha. Halafu msiwaruhusu wafanyakazi wa NIDA kuchati na simu zao wakati wa kazi.
Mkuu wa nida muondoe huyu bosi wa nida pwani. Tuletee mtu anayejua wsjibu wake.