Mtandao wa airtel umekuwa na matatizo makubwa sana silu hizi kwani haupatikani na uko very unreliable na hawatoi maelezo yoyote. Hii kweli ni saea?
Labda huko nangurukuru mbona huku uko poa tu...
Mtandao wa airtel umekuwa na matatizo makubwa sana silu hizi kwani haupatikani na uko very unreliable na hawatoi maelezo yoyote. Hii kweli ni saea?
Nadhani alimaanisha tigo. airtel haina shida ila tigo ndo kwenye shida zaidi
Kama upo KAINAMU lazima ukose mtandao.Mtandao wa airtel umekuwa na matatizo makubwa sana silu hizi kwani haupatikani na uko very unreliable na hawatoi maelezo yoyote. Hii kweli ni saea?