42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,835
- 8,874
Mods naomba mtauweka uzi huu kwenye jukwaa sahihi kama nimekosea.
2 Wafalme 2:19-22
Watu wa mjini wakamwambia Elisha, Angalia, twakusihi, mahali pa mji huu ni pazuri, kama bwana wangu aonavyo; lakini maji yake hayafai, na nchi huzaa mapooza. ndani yake.
Wakamletea. Akasema, Nileteeni chombo kipya, mtie chumvi Akatoka akaenda mpaka chemchemi ya maji, akatupa ile chumvi humo ndani, akasema, BWANA asema hivi, Nimeyaponya maji haya; hakutatoka huko tena kufa wala kuzaa mapooza.
Hivyo yale maji yakapona hata leo, sawasawa na neno la Elisha alilolinena.
Leo katika pitapita zangu nikakutana na video moja tiktok kuna mdada anaongea habari za chumvi, story za kuogea chumvi na kadhalika. Na kuna watu wanashuhudia kabisa zimework out kwao.
Pia nikakumbuka zile story za kama mtu mtu ana mikosi wanamshauri akaoge maji ya baharini atoe mikosi. Huenda kuna ukweli. Mimi sijajua.
Nikalazimika kutafuta kwenye biblia story za chumvi na ndio nikakutana na hiyo ya 2 Wafalme 2:19-22. Sijajua kwenye vitabu vya dini zingine kama imezungumzwa wenzetu mtatusaidia.
Kwenye bible inaonesha kumbe chumvi ilikuwa inatumika toka miaka hiyo kuponya vitu as kama ilivyo kwenye hiyo story ya wafalme.
Kuna siri gani kwenye chumvi?
Kama una nondo za kuongezea unaweza kutiririka.
Jumapili njema.
2 Wafalme 2:19-22
Watu wa mjini wakamwambia Elisha, Angalia, twakusihi, mahali pa mji huu ni pazuri, kama bwana wangu aonavyo; lakini maji yake hayafai, na nchi huzaa mapooza. ndani yake.
Wakamletea. Akasema, Nileteeni chombo kipya, mtie chumvi Akatoka akaenda mpaka chemchemi ya maji, akatupa ile chumvi humo ndani, akasema, BWANA asema hivi, Nimeyaponya maji haya; hakutatoka huko tena kufa wala kuzaa mapooza.
Hivyo yale maji yakapona hata leo, sawasawa na neno la Elisha alilolinena.
Leo katika pitapita zangu nikakutana na video moja tiktok kuna mdada anaongea habari za chumvi, story za kuogea chumvi na kadhalika. Na kuna watu wanashuhudia kabisa zimework out kwao.
Pia nikakumbuka zile story za kama mtu mtu ana mikosi wanamshauri akaoge maji ya baharini atoe mikosi. Huenda kuna ukweli. Mimi sijajua.
Nikalazimika kutafuta kwenye biblia story za chumvi na ndio nikakutana na hiyo ya 2 Wafalme 2:19-22. Sijajua kwenye vitabu vya dini zingine kama imezungumzwa wenzetu mtatusaidia.
Kwenye bible inaonesha kumbe chumvi ilikuwa inatumika toka miaka hiyo kuponya vitu as kama ilivyo kwenye hiyo story ya wafalme.
Kuna siri gani kwenye chumvi?
Kama una nondo za kuongezea unaweza kutiririka.
Jumapili njema.

