Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
Habari za humu JF,
Hali ya maisha kwa Wajasiriamali walio wengi Tanzania hayakidhi viwango vya malengo yao mengi waliyojiwekea hivyo wajasiriamali hawa wadogo wadogo wanakua wapo vile vile na miradi yao miaka nenda miaka rudi bila kupiga hatua mbele zaidi.
Ukiuliza maendeleo ya miradi ya wajasiriamali hawa kamwe hawakosi jibu kwa sababu imezoeleka ujasiriamali ni kama kiswahili fulani kireeefu hivi, Maneno mengi vitendo ziro.
Nawaasa wajasiamali kufikiri zaidi juu ya kuunganisha mitaji yao ili iwe na nguvu katika Soko.
Kwa mfano wakitokea wajasiamali( 100)Wakaunganisha nguvuzao kila mmoja ajiunge na 2M tunaona kwamba hawa watakua na mtaji wa M200.
Huu mtaji wa M200 mnaweza kufungua Biashara moja yenye nguvu katika soko na mkapata kutoa ajira kwa vijana wengine zaidi ya 100-utajiri wa mabilioni ndani ya muda mfupi kuliko kila mmoja kwenda katika soko na mtaji wa M2 hapa tunapoteza tuunganishe nguvu na wengine wenye nia ya kujikomboa kuifanya kesho iliyo nzuri.
Ukingia katika mitandao utashuhudia vijana wa rika la kati wanalalama kuhusu kupata mitaji na kukosa ajira lakini katika hayo hakuna ambae anaewaza kuunganisha nguvu zake na wengine ili wawe na nguvu soko la mitaji.
Vijana sasa ni wakati wa kuamka tuunganishe nguvu zetu tuzifuate ndoto zetu.
Nakaribisha Mawazo yenu.
Hali ya maisha kwa Wajasiriamali walio wengi Tanzania hayakidhi viwango vya malengo yao mengi waliyojiwekea hivyo wajasiriamali hawa wadogo wadogo wanakua wapo vile vile na miradi yao miaka nenda miaka rudi bila kupiga hatua mbele zaidi.
Ukiuliza maendeleo ya miradi ya wajasiriamali hawa kamwe hawakosi jibu kwa sababu imezoeleka ujasiriamali ni kama kiswahili fulani kireeefu hivi, Maneno mengi vitendo ziro.
Nawaasa wajasiamali kufikiri zaidi juu ya kuunganisha mitaji yao ili iwe na nguvu katika Soko.
Kwa mfano wakitokea wajasiamali( 100)Wakaunganisha nguvuzao kila mmoja ajiunge na 2M tunaona kwamba hawa watakua na mtaji wa M200.
Huu mtaji wa M200 mnaweza kufungua Biashara moja yenye nguvu katika soko na mkapata kutoa ajira kwa vijana wengine zaidi ya 100-utajiri wa mabilioni ndani ya muda mfupi kuliko kila mmoja kwenda katika soko na mtaji wa M2 hapa tunapoteza tuunganishe nguvu na wengine wenye nia ya kujikomboa kuifanya kesho iliyo nzuri.
Ukingia katika mitandao utashuhudia vijana wa rika la kati wanalalama kuhusu kupata mitaji na kukosa ajira lakini katika hayo hakuna ambae anaewaza kuunganisha nguvu zake na wengine ili wawe na nguvu soko la mitaji.
Vijana sasa ni wakati wa kuamka tuunganishe nguvu zetu tuzifuate ndoto zetu.
Nakaribisha Mawazo yenu.