Kuna nini Kwenye Thread za Magufuli na Lowassa

Kuna nini Kwenye Thread za Magufuli na Lowassa

Job K

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2010
Posts
9,314
Reaction score
7,165
Jamani tuache ubishi, Lowassa ni heavy weight wakati Magufuli ni feather weight. Huyu jamaa wamemnyanyasa kumpambanisha na Lowassa hii inajionesha kabisa kuwa nani anampiku mwenzake kwa umaarufu. Hii ni ishara mbaya kwa Gufuli, wavivu wa kufikri wanaweza kusema wanaotembelea JF ni wasomi wakati wapiga kura ni malofa, sasa najiuliza ina maana ccm yenyewe haina wasomi wanaoweza kutembelea kwa wingi kwenye thread ya ndugu yao?

Tukri kwa uwazi kabisa Lowassa ni namba ingine kabisa huwezi ipambanisha na Magufuli!!

Waliochangia na kutembelea thread ya Lowassa:


  • Replies: 545
  • Views: 13,953

Waliochangia na kutembelea thread ya Magufuli:


  • Replies: 157
  • Views: 2,388
 
Mkuu huu mpambano haujakaa sawa. Kama ni mpira, Magufuli ni Ngassa na Lowassa ni Messi. Kama ingekuwa mpambano wa ngumi basi Magufuli ni Cheka na Lowassa ni F. Myweather
 
Thread ya lowassa ilianza saa ngapi na ya Magufuli imeanza saa ngapi?
 
Nimemsikiliza kupitia Tv tokea aanze kuongea karibia lisaa limoja limepita anazungumzia habari ya barabara! Tunajiuliza Magufuli anaomba kazi ya waziri wa ujenzi? Barabara ni muhimu mno lakini inaweza kuwa kipaumbele cha kwanza mpaka unatumia zaid ya lisaa kuongelea?

Tufikirie upya Magufuli sio Presidential material hafai kabisa
 
Honourable edward ngoyai lowassa for the bright future of our country tanzania
 
Thread ya lowassa ilianza saa ngapi na ya Magufuli imeanza saa ngapi?
Wewe ni jinga nani kakuruhusu kuchungulia hapa? jingalao haliwezi likawa na akili hata kidogo!!
 
Back
Top Bottom