pig man
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 292
- 319
Ndugu wanajamii hope mnaendelea vizuri na majukumu ya kila siku ya ujenzi wa taifa letu, kuna swala limekuwa likinitatiza sana kuhusu viongozi wetu hawa wa kitaifa yaani raisi Kikwete na raisi mstaafu Mkapa imekuwa ni nadra sana kumuona mkapa anauzulia sherehe za kiserikali au hafla zingine tu ambazo Jk amekuwa mgeni rasmi, mfano juzi wakati wa ufunguzi wa bunge maalumu la katiba niliona viongozi karibu wote ila Mkapa hakutokea, tatizo ni nini wadau? mwenye ufahamu juu ya hili atujuze wakuu.