Kuna nini kati ya Mkapa na Kikwete?

Kuna nini kati ya Mkapa na Kikwete?

pig man

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2013
Posts
292
Reaction score
319
Ndugu wanajamii hope mnaendelea vizuri na majukumu ya kila siku ya ujenzi wa taifa letu, kuna swala limekuwa likinitatiza sana kuhusu viongozi wetu hawa wa kitaifa yaani raisi Kikwete na raisi mstaafu Mkapa imekuwa ni nadra sana kumuona mkapa anauzulia sherehe za kiserikali au hafla zingine tu ambazo Jk amekuwa mgeni rasmi, mfano juzi wakati wa ufunguzi wa bunge maalumu la katiba niliona viongozi karibu wote ila Mkapa hakutokea, tatizo ni nini wadau? mwenye ufahamu juu ya hili atujuze wakuu.
 
Ndugu wanajamii hope mnaendelea vizuri na majukumu ya kila siku ya ujenzi wa taifa letu, kuna swala limekuwa likinitatiza sana kuhusu viongozi wetu hawa wa kitaifa yaani raisi Kikwete na raisi mstaafu Mkapa imekuwa ni nadra sana kumuona mkapa anauzulia sherehe za kiserikali au hafla zingine tu ambazo Jk amekuwa mgeni rasmi, mfano juzi wakati wa ufunguzi wa bunge maalumu la katiba niliona viongozi karibu wote ila Mkapa hakutokea, tatizo ni nini wadau? mwenye ufahamu juu ya hili atujuze wakuu.
Mkapa è temendo di essere legati a Kikwete failures.He è senza dubbio il miglior presidente di questo paese abbia mai avuto.
 
Mkapa est craignant d'être lié à Kikwete failures.He est sans aucun doute le meilleur président de ce pays ait jamais eu.

Mkapa is afraid of being linked to failures.He Kikwete is undoubtedly the best president this country has ever had.
 
Ndugu wanajamii hope mnaendelea vizuri na majukumu ya kila siku ya ujenzi wa taifa letu, kuna swala limekuwa likinitatiza sana kuhusu viongozi wetu hawa wa kitaifa yaani raisi Kikwete na raisi mstaafu Mkapa imekuwa ni nadra sana kumuona mkapa anauzulia sherehe za kiserikali au hafla zingine tu ambazo Jk amekuwa mgeni rasmi, mfano juzi wakati wa ufunguzi wa bunge maalumu la katiba niliona viongozi karibu wote ila Mkapa hakutokea, tatizo ni nini wadau? mwenye ufahamu juu ya hili atujuze wakuu.
"Mtaji wa mjinga ni majungu" acha majungu kijana
 
Mkapa is afraid of being linked to failures.He Kikwete is undoubtedly the best president this country has ever had.

Êtes-vous un congolais, rwandais ou jamais vécu en France? Vous effrayer l'enfer hors de moi, vous man.But traduit contrairement à ce que je voulais dire, vous induit en erreur peopl.o
 
Ujinga wa jk uko wapi?

Kikweke sio JK maana kuna JK mmoja tu Tanzania ambaye ni Julius Kambarage Nyerere!!
Sasa Kikwete anaposema anamajina ya wauza unga ila hataki kuwataja!!
Aliposema wezi waliokwapua mpunga Wa EPA anawapa mda warudishe mpunga!!
Juzi wakati anahojiwa na BBC alisema anawajua wauaji wa tembo wetu alipoambiwa wataje akagoma!! Huo kwa werevu wako unauitaje????
 
Êtes-vous un congolais, rwandais ou jamais vécu en France? Vous effrayer l'enfer hors de moi, vous man.But traduit contrairement à ce que je voulais dire, vous induit en erreur peopl.o
azpera momento!

 
Back
Top Bottom